My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Kuna haja Safina la Nuhu kujengwa upya gharika lingne lije,uzao mpya uje tuone na wenyewe utakua na maajabu gan mana kwa hiki kizazi chetu kimeshindikanaJamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.
Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!
Mtoto anaishi nae.
Ni uzingativu tu ,unaweza kupenya ata ukitokea kibaigwa dodoma.Kuna bro Moja aliforce akapenya Dubai akapiga kazi kwenye kampuni akawa mfanyakazi bora akapiga cross training akaomba kazi Biden land akapata mi namaliza chuo yy anaripoti kazini
Siwezi mcheka mtu yoyote humu ,huwa mimi nina furahi tu😊Tusimcheke mleta mada itakua bado moyo wake haujazoea matukio
Kibaigwa 😁😁😁Ni uzingativu tu ,unaweza kupenya ata ukitokea kibaigwa dodoma.
Mkuu wapo likizo kwa sasaMimi sio nabii ila bado umri wako ni mdogo mkuu
Nuzulati mtoto mzuri mambo?Mkuu wapo likizo kwa sasa
Safi za wewe🤗Nuzulati mtoto mzuri mambo?
Kwema sna , nimekumisi 😊Safi za wewe🤗
Sorry, we ni ME au KE?Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.
Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!
Mtoto anaishi nae.
Mwambie mlipoishia ndio hapo, utamsaidia mahitaji ya mtoto. Mbona unajipa kazi ngumu hivo, umkomeshe?? Au umri wako ni mdogo mpaka unaumiza freedom yako hivoJamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.
Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!
Mtoto anaishi nae.
Ndio mkuu japo nna miaka ya kuhitimu degree sijatafunaSure mkuu kikubwa unatafuna.
😂 kazi kwako mkuu nawaona mkifikia malengo ya upendo.Nipatieni huyo atakua wa mwisho akiniacha bas mapenzi sio fungu langu
Nawaahidi round hii sitawaangusha😂 kazi kwako mkuu nawaona mkifikia malengo ya upendo.
Kila la heri mkuu mpaka mpate na wajukuu.Nawaahidi round hii sitawaangusha
Akiniacha ndo hvo status viewers mtafaidiKila la heri mkuu mpaka mpate na wajukuu.
Tutafaidi nini?Akiniacha ndo hvo status viewers mtafaidi