Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 636
- 960
Westgate ndo habarii ya mjinii nilikuwa hapo mwaka jana. Nadhani haina mudà mrefu maana ilikuwa ikitajwa sanaUpo sumbawanga sehem ipi njoo hapa Westgate tuongee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
alienda hospitali ya wahindi pale Mwanza inaitwa hindu Mandal, na tokea amepewa hizo dawa za mwezi mzima tokea mwaka jana mwezi wa 11, mpaka leo hajawai kukosa period.Sawa, kama alifanya surgical abortion na hakufanyiwa na mtu ambaye ni mtaalam anaweza akapata majeraha kwenye uterus ambapo itakuwa ni ngumu kwake kupata ujauzito tena. Na dalili zake zinaendana na anazopitia...
Huyo binti unaweza kuishi nae vizuri kama atakubali mama yake asim manipulate. Ila kama mama yake akiendelea kum control sahau kuhusu furaha.alienda hospitali ya wahindi pale Mwanza inaitwa hindu Mandal, na tokea amepewa hizo dawa za mwezi mzima tokea mwaka jana mwezi wa 11, mpaka leo hajawai kukosa period. Changamoto ni kwangu hatia inanitafuna sana kwamba mama alieniulia mtoto huyohuyo nirudi tena kwake kumpelekea mahari na ninakumbuka nilimsihi sana asifanye hivyo.
Kama nyeusi Pepsi. Aisee ile kituTangu mwezi huu umeanza umekunywa soda unajua utamu wa soda wewe
Ww jamaa si ukamalize hiyo stori yako sasa?Ukioa huyo bint hesabu maumivu
Ndiyo hormonal imbalance inaathiri afya ya uzazi.Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..
Kesho tuonane King G mida ya jioni mkuu.Upo sumbawanga sehem ipi njoo hapa Westgate tuongee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Binti umempenda lakini mama ake ni kichefuchefu, ukiamuoa jua ndoa yenu haitafika mbali maana binti atakuwa anapokea maelekezo yote toka kwa mama ake ambaye ameshaonesha negativity katika mahusiano yenu.Wakuu naomba mnipe msaada wa mawazo maana tunatofautiana experience humu ndani.
Nilikua na mpenzi tuliyedumu naye miaka mingi kidogo kama miaka mitano kama wapenzi, nilimfahamu nilipokua form five mpaka namaliza chuo tulikua pamoja, baada ya kumaliza chuo nilimpa huyu binti mimba, alinipa taarifa ya mimba wakati huo nilienda mikoani kujitafuta, niliikubali moja moja bila kupinga kwamba nitailea, maana nilikua nimekutana naye siku za hatari, pia nilimpa option ya kwenda nyumbani kwa wazazi wangu maana bado nilikua najitafuta, nilikubali kuilea kwa sababu alikua ni Mwanamke wa ndoto zangu, ilipita kama siku mbili mama yake na binti akanipigia simu kuhusu ujauzito wa binti yake
Alinambia anataka aitoe kwa sababu anataka kumrudisha yule binti shule akareset mtihani ya form four, mimi sikubaliana na ile hali kwa sababu niliona kama ni kosa kubwa sana kwa kufanya kile kitendo, licha ya kufanya jitihada zote za kumuomba yule mama asitoe mimba alifanikisha lengo yake na kumtoa mimba.
Ilipita miezi mitatu sikua normal hasira na chuki zilinitawala sana lakini nilimsamehe yule binti na kuendelea naye kwenye mahusiano baada ya kuomba msamaha sana kwamba sio kosa lake bali la mama yake.
Ulipita kama mwaka mmoja baada ya yeye kwenda kureset form four na kufeli, na kipindi hiko tayari nilikua nimeshapata kazi serikalini alikuja kunitembelea mkoa ambao nilikuepo, alikuja akakaa kama miezi 7, nilimpenda sana huyu binti na lengo langu lilikuwa nikipata likizo niende nyumbani kwao nikajitambulishe, kwa miezi hiyo saba sikua sawa na mama yake kwa sababu ya lile jambo alilolifanyia miaka miwili nyuma, kwa miezi yote saba huyu mpenzi wangu alipata tatizo dogo la kutoona siku zake, nipo sumbawanga akaanza kulalamika kwamba tokea amekuja huu mkoa niliopo hayo matatizo ndio yameanza kumkuta, basi alitaka kwenda kwao, nilimpa pesa kidogo kwa ajili ya matibabu
Nikweli alipoenda kufanya uchunguzi akakutwaa na hormonal imbalance akapewa vidonge vya kunywa mwezi mzima, na period yake inarejea kama kawaida, lakini cha kushangaza nilivyompa hiyo hela kwa ajili ya matibabu, mama yake aliitaka hiyo hela ilikua laki 4, akamletea madawa ya miti shamba, lakini uzuri ni kwamba binti alikataa kumpa huyo mama ake hela, inaonesha mama yake yupo na tamaa sana ya pesa.
Wakuu nimekuja kwenu kuwauliza mambo mbalimbali mnisaidie mawazo maana sina mtu wa karibu wa kumueleza.
Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..
Muache endelea na maisha yako.Wakuu naomba mnipe msaada wa mawazo maana tunatofautiana experience humu ndani.
Nilikua na mpenzi tuliyedumu naye miaka mingi kidogo kama miaka mitano kama wapenzi, nilimfahamu nilipokua form five mpaka namaliza chuo tulikua pamoja, baada ya kumaliza chuo nilimpa huyu binti mimba, alinipa taarifa ya mimba wakati huo nilienda mikoani kujitafuta, niliikubali moja moja bila kupinga kwamba nitailea, maana nilikua nimekutana naye siku za hatari, pia nilimpa option ya kwenda nyumbani kwa wazazi wangu maana bado nilikua najitafuta, nilikubali kuilea kwa sababu alikua ni Mwanamke wa ndoto zangu, ilipita kama siku mbili mama yake na binti akanipigia simu kuhusu ujauzito wa binti yake
Alinambia anataka aitoe kwa sababu anataka kumrudisha yule binti shule akareset mtihani ya form four, mimi sikubaliana na ile hali kwa sababu niliona kama ni kosa kubwa sana kwa kufanya kile kitendo, licha ya kufanya jitihada zote za kumuomba yule mama asitoe mimba alifanikisha lengo yake na kumtoa mimba.
Ilipita miezi mitatu sikua normal hasira na chuki zilinitawala sana lakini nilimsamehe yule binti na kuendelea naye kwenye mahusiano baada ya kuomba msamaha sana kwamba sio kosa lake bali la mama yake.
Ulipita kama mwaka mmoja baada ya yeye kwenda kureset form four na kufeli, na kipindi hiko tayari nilikua nimeshapata kazi serikalini alikuja kunitembelea mkoa ambao nilikuepo, alikuja akakaa kama miezi 7, nilimpenda sana huyu binti na lengo langu lilikuwa nikipata likizo niende nyumbani kwao nikajitambulishe, kwa miezi hiyo saba sikua sawa na mama yake kwa sababu ya lile jambo alilolifanyia miaka miwili nyuma, kwa miezi yote saba huyu mpenzi wangu alipata tatizo dogo la kutoona siku zake, nipo sumbawanga akaanza kulalamika kwamba tokea amekuja huu mkoa niliopo hayo matatizo ndio yameanza kumkuta, basi alitaka kwenda kwao, nilimpa pesa kidogo kwa ajili ya matibabu
Nikweli alipoenda kufanya uchunguzi akakutwaa na hormonal imbalance akapewa vidonge vya kunywa mwezi mzima, na period yake inarejea kama kawaida, lakini cha kushangaza nilivyompa hiyo hela kwa ajili ya matibabu, mama yake aliitaka hiyo hela ilikua laki 4, akamletea madawa ya miti shamba, lakini uzuri ni kwamba binti alikataa kumpa huyo mama ake hela, inaonesha mama yake yupo na tamaa sana ya pesa.
Wakuu nimekuja kwenu kuwauliza mambo mbalimbali mnisaidie mawazo maana sina mtu wa karibu wa kumueleza.
Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..