Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

Sawa, kama alifanya surgical abortion na hakufanyiwa na mtu ambaye ni mtaalam anaweza akapata majeraha kwenye uterus ambapo itakuwa ni ngumu kwake kupata ujauzito tena. Na dalili zake zinaendana na anazopitia...
alienda hospitali ya wahindi pale Mwanza inaitwa hindu Mandal, na tokea amepewa hizo dawa za mwezi mzima tokea mwaka jana mwezi wa 11, mpaka leo hajawai kukosa period.

Changamoto ni kwangu hatia inanitafuna sana kwamba mama alieniulia mtoto huyohuyo nirudi tena kwake kumpelekea mahari na ninakumbuka nilimsihi sana asifanye hivyo.
 
alienda hospitali ya wahindi pale Mwanza inaitwa hindu Mandal, na tokea amepewa hizo dawa za mwezi mzima tokea mwaka jana mwezi wa 11, mpaka leo hajawai kukosa period. Changamoto ni kwangu hatia inanitafuna sana kwamba mama alieniulia mtoto huyohuyo nirudi tena kwake kumpelekea mahari na ninakumbuka nilimsihi sana asifanye hivyo.
Huyo binti unaweza kuishi nae vizuri kama atakubali mama yake asim manipulate. Ila kama mama yake akiendelea kum control sahau kuhusu furaha.
Kuhusu mahari wewe peleka tu lakini ukishaoa, hakikisha binti anakuwa mbali na mama yake
 
Lakini...hukua umemuoa.... na alikua chini ya wazazi. Sidhani kama unatakiwa umchukie mama mkwe...

Wewe msamehe huyu binti na muoe...

Maisha yenyewe yako wapi. Hata dini inatusihi tusamehe

Usifanye moyo wako kuwa mgumu.
 
Mama mkwe anaingilia uhusuano na hujamuoa, ukimuoa utaona mengi....kimbia
 
Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..
Ndiyo hormonal imbalance inaathiri afya ya uzazi.

Huyo usioe kwa maana hiyo ndoa haitadumu na hamtaishiwa misukosuko.
 
"wataungana wawe kitu kimoja na hakuna rangi utaacha kuona!"
Hichi ndicho kitaenda kutokea mbele ya safari sasa wewe kaza fuvu kaoe huyo mwanamke..
 
Wakuu naomba mnipe msaada wa mawazo maana tunatofautiana experience humu ndani.

Nilikua na mpenzi tuliyedumu naye miaka mingi kidogo kama miaka mitano kama wapenzi, nilimfahamu nilipokua form five mpaka namaliza chuo tulikua pamoja, baada ya kumaliza chuo nilimpa huyu binti mimba, alinipa taarifa ya mimba wakati huo nilienda mikoani kujitafuta, niliikubali moja moja bila kupinga kwamba nitailea, maana nilikua nimekutana naye siku za hatari, pia nilimpa option ya kwenda nyumbani kwa wazazi wangu maana bado nilikua najitafuta, nilikubali kuilea kwa sababu alikua ni Mwanamke wa ndoto zangu, ilipita kama siku mbili mama yake na binti akanipigia simu kuhusu ujauzito wa binti yake

Alinambia anataka aitoe kwa sababu anataka kumrudisha yule binti shule akareset mtihani ya form four, mimi sikubaliana na ile hali kwa sababu niliona kama ni kosa kubwa sana kwa kufanya kile kitendo, licha ya kufanya jitihada zote za kumuomba yule mama asitoe mimba alifanikisha lengo yake na kumtoa mimba.

Ilipita miezi mitatu sikua normal hasira na chuki zilinitawala sana lakini nilimsamehe yule binti na kuendelea naye kwenye mahusiano baada ya kuomba msamaha sana kwamba sio kosa lake bali la mama yake.

Ulipita kama mwaka mmoja baada ya yeye kwenda kureset form four na kufeli, na kipindi hiko tayari nilikua nimeshapata kazi serikalini alikuja kunitembelea mkoa ambao nilikuepo, alikuja akakaa kama miezi 7, nilimpenda sana huyu binti na lengo langu lilikuwa nikipata likizo niende nyumbani kwao nikajitambulishe, kwa miezi hiyo saba sikua sawa na mama yake kwa sababu ya lile jambo alilolifanyia miaka miwili nyuma, kwa miezi yote saba huyu mpenzi wangu alipata tatizo dogo la kutoona siku zake, nipo sumbawanga akaanza kulalamika kwamba tokea amekuja huu mkoa niliopo hayo matatizo ndio yameanza kumkuta, basi alitaka kwenda kwao, nilimpa pesa kidogo kwa ajili ya matibabu

Nikweli alipoenda kufanya uchunguzi akakutwaa na hormonal imbalance akapewa vidonge vya kunywa mwezi mzima, na period yake inarejea kama kawaida, lakini cha kushangaza nilivyompa hiyo hela kwa ajili ya matibabu, mama yake aliitaka hiyo hela ilikua laki 4, akamletea madawa ya miti shamba, lakini uzuri ni kwamba binti alikataa kumpa huyo mama ake hela, inaonesha mama yake yupo na tamaa sana ya pesa.

Wakuu nimekuja kwenu kuwauliza mambo mbalimbali mnisaidie mawazo maana sina mtu wa karibu wa kumueleza.

Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..
Binti umempenda lakini mama ake ni kichefuchefu, ukiamuoa jua ndoa yenu haitafika mbali maana binti atakuwa anapokea maelekezo yote toka kwa mama ake ambaye ameshaonesha negativity katika mahusiano yenu.
Amua moja ukae na binti na amfungie vioo mamaake au ukabiliane na changamoto atakazozizalisha mama. Mimi kama mimi ningemuacha huyo binti kwa kukubali wazo la mamaake na kuniulia mwanangu na incase akihitaji msaada ningekuwa namsaidia nikiwa mbali.
 
Wakuu naomba mnipe msaada wa mawazo maana tunatofautiana experience humu ndani.

Nilikua na mpenzi tuliyedumu naye miaka mingi kidogo kama miaka mitano kama wapenzi, nilimfahamu nilipokua form five mpaka namaliza chuo tulikua pamoja, baada ya kumaliza chuo nilimpa huyu binti mimba, alinipa taarifa ya mimba wakati huo nilienda mikoani kujitafuta, niliikubali moja moja bila kupinga kwamba nitailea, maana nilikua nimekutana naye siku za hatari, pia nilimpa option ya kwenda nyumbani kwa wazazi wangu maana bado nilikua najitafuta, nilikubali kuilea kwa sababu alikua ni Mwanamke wa ndoto zangu, ilipita kama siku mbili mama yake na binti akanipigia simu kuhusu ujauzito wa binti yake

Alinambia anataka aitoe kwa sababu anataka kumrudisha yule binti shule akareset mtihani ya form four, mimi sikubaliana na ile hali kwa sababu niliona kama ni kosa kubwa sana kwa kufanya kile kitendo, licha ya kufanya jitihada zote za kumuomba yule mama asitoe mimba alifanikisha lengo yake na kumtoa mimba.

Ilipita miezi mitatu sikua normal hasira na chuki zilinitawala sana lakini nilimsamehe yule binti na kuendelea naye kwenye mahusiano baada ya kuomba msamaha sana kwamba sio kosa lake bali la mama yake.

Ulipita kama mwaka mmoja baada ya yeye kwenda kureset form four na kufeli, na kipindi hiko tayari nilikua nimeshapata kazi serikalini alikuja kunitembelea mkoa ambao nilikuepo, alikuja akakaa kama miezi 7, nilimpenda sana huyu binti na lengo langu lilikuwa nikipata likizo niende nyumbani kwao nikajitambulishe, kwa miezi hiyo saba sikua sawa na mama yake kwa sababu ya lile jambo alilolifanyia miaka miwili nyuma, kwa miezi yote saba huyu mpenzi wangu alipata tatizo dogo la kutoona siku zake, nipo sumbawanga akaanza kulalamika kwamba tokea amekuja huu mkoa niliopo hayo matatizo ndio yameanza kumkuta, basi alitaka kwenda kwao, nilimpa pesa kidogo kwa ajili ya matibabu

Nikweli alipoenda kufanya uchunguzi akakutwaa na hormonal imbalance akapewa vidonge vya kunywa mwezi mzima, na period yake inarejea kama kawaida, lakini cha kushangaza nilivyompa hiyo hela kwa ajili ya matibabu, mama yake aliitaka hiyo hela ilikua laki 4, akamletea madawa ya miti shamba, lakini uzuri ni kwamba binti alikataa kumpa huyo mama ake hela, inaonesha mama yake yupo na tamaa sana ya pesa.

Wakuu nimekuja kwenu kuwauliza mambo mbalimbali mnisaidie mawazo maana sina mtu wa karibu wa kumueleza.

Je ni kweli hormonal imbalance, au mwanamke kutokuona siku zake inaweza sababisha akapata matatizo ya kupata ujauzito?, Ananiomba sana kurudi huku nilipo lakini moyo wangu unakua mgumu sana kwa sababu ya mama ake, na hata nikisema nimuoe bado mama ake atakuja kuingilia tu hiyo ndoa ilo jambo linanipa ugumu sana wakuu, mliwezaje kuishi na wakwe ambao ni pasua kichwa?..
Muache endelea na maisha yako.
 
Hormones imbalance ipo, wakati mwingine mwanamke akibadilisha mazingira inatokea ( Sumbawanga kuna baridi)
Kuhusu mama wa binti kweli ni tatizo, ila usimuhukumu binti kwa kuzaliwa na mama wa hovyo.
Kikubwa mmeshajua wote kuwa huyo mama ni tatizo na mpange mkakati wa kumthibiti.
Hautapata mwanamke perfect, ukimwacha huyo sababu ya mama yake unaweza kupata mwingine ambaye anashinda nyingine mbaya zaidi.
 
Mtoto wa kike na mama yake lao Moja...baada ya kulitambua Hilo huyo mama angeamua kukushtaki kuwa umekula mwanafunzi ungesweka 30yrs ndichi,so mshukuru,ila kupenda hela,hakuna ma mkwe asiyependa maokoto jikaze weka chombo ndani.
 
Msamehe, weka ndani mutoto mzuri huyo...

Jifunze kupambana na changamoto na siyo kukimbia...
 
ushautua huo mzigo wa misumari kwa gharama ya 400,000/= kwanini unataka kuurudisha na viashiria vyote vya hatari ushaviona? tumia akili usitumie hisia.
 
Hivi ujasili wa kumuita mama mkwe unautoa wapi na hujamuoa binti yake?? Kwahiyo ulitaka akuchekee unavyomuharibu binti yake??!!
Kazi unayo lakini kwenda kwao kujitambulisha hutaki, unataka kuweka mimba mxieeeewwww
 
Kama serikali inaajiri watu kama hawa, bas halali tusiendelee
 
Back
Top Bottom