babrabae
Member
- Jul 24, 2018
- 55
- 55
Mambo zenu wapenzi ,nashindwa kumuelewa huyu mwanaume tulie achana nae japo kua tumeachana anapenda tuishi kama marafiki, Anadai hawezi kukaa kimya bira kunitafuta na kunisalimia
Mimi fikra zangu nikajua labda anaomba msamaa hapo mwanzo kwa vitendo niliamu kumsamehee na kuludisha upendo yeye anakua hajari tena upendo wangu
Nikiacha kumtafuta nikawa simjari na kuamini nimeachana nae yeye analudi kwa kasi na kulalama kwanini namtenga
Nililudi ananitenga
Sielewi anamaanisha nini au anacheza mchezo gani!!!!
Kwa sasa nimeamua kumchunia kabisa sasa analalamika kila kona
Tabia hii kufanya kwa mwaka sasa
Naombeni ushauri anamaanisha nini
Na je ananipenda au rahaaa!
Njoo at PM kwa ushauri zaidi
Mimi fikra zangu nikajua labda anaomba msamaa hapo mwanzo kwa vitendo niliamu kumsamehee na kuludisha upendo yeye anakua hajari tena upendo wangu
Nikiacha kumtafuta nikawa simjari na kuamini nimeachana nae yeye analudi kwa kasi na kulalama kwanini namtenga
Nililudi ananitenga
Sielewi anamaanisha nini au anacheza mchezo gani!!!!
Kwa sasa nimeamua kumchunia kabisa sasa analalamika kila kona
Tabia hii kufanya kwa mwaka sasa
Naombeni ushauri anamaanisha nini
Na je ananipenda au rahaaa!
Njoo at PM kwa ushauri zaidi
Last edited: