Nailaswrty
Member
- Jul 13, 2020
- 20
- 30
KwaniniAndika wosia mapema, maana akikugeukia hata kumuelewa hutakuwa na huo muda tena.
Ndyo nampa kila kitu na mapenz piaLakini "anashughulika" sawasawa?
Jmn [emoji52]Sasa ww mwenye mume haumuelewi..sie tutamuelelewa kwel?
Anyways kwan uchebe anasemaje[emoji3]
Ndyo nampa kila kitu na mapenz pia
KidogoYeye anajiweza kwenye 6*6? Hilo ndilo swali langu.
Dah sawaSiku akikucharanga mapanga,utamwelewa tu,,hiyo ni dalili mbaya,,andika wosia
Kidogo