Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa akifikiriaa unyama ambao atamfanyia huyu manzi inabdi aishiee kuliaa tuuu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao watu wa dizain hiyo wabaya sana..he keep records usije ukadhani Ni Fala na yanaisha kirahisi rahisi kuna siku atakuja chinja mtu alafu useme hatujakuambia endelea kuchat na wanaume zako!!
Una bahat sana kupata jamaa wa hivo ningekua mimi siku hiyo hiyo ungerudi kwenu na story ingeishia hapo!! Hivi ndivo ambavo siwaamini wanawake.
yaani hajui Niga like those asiwachukulie poa..jamaa atakuja kuushangaza ukoo na ulimwengu mtu atafanywa sosejiJamaa akifikiriaa unyama ambao atamfanyia huyu manzi inabdi aishiee kuliaa tuuu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu ni wale watu wanao.kusanya kidogo kidogo na kuhifandhi moyoni.Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Kuwa makini uko na bomu litaripuka muda wowoteMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
[emoji23]Jamaa akifikiriaa unyama ambao atamfanyia huyu manzi inabdi aishiee kuliaa tuuu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee ndio unamatatizo unadhani alichofanya ushebe ni ujingaaa wanawake kama wewe mnatakiwa mpigwe hadi mfe kama hamkuwa tayari kuolewa why muwachezee wenzenuuMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Bado maandazi,chai ya leo nzuriMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Sasa hapa umefanyaje?Ndio maana ni aghalab kunikuta nachangia mada za hili jukwaa Chai mingi.