Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

hao watu wa dizain hiyo wabaya sana..he keep records usije ukadhani Ni Fala na yanaisha kirahisi rahisi kuna siku atakuja chinja mtu alafu useme hatujakuambia endelea kuchat na wanaume zako!!

Una bahat sana kupata jamaa wa hivo ningekua mimi ungepata kipigo cha mbwa mwizi au ungeona kilicho mtoa kanga manyoya au ungefumbua fumbo la kuku na yai ilitangulia ipi, au kwanini mvua ikinyesha kenge anakimbilia kwenye water yote majibu yangepatikana siku hiyo na kesho ungerudi kwenu na story ingeishia hapo!! Hivi ndivo ambavo siwaamini wanawake.Msela anahangaika huku na huko kwa ajili yako kumbe unaleta umalaya.
 
hao watu wa dizain hiyo wabaya sana..he keep records usije ukadhani Ni Fala na yanaisha kirahisi rahisi kuna siku atakuja chinja mtu alafu useme hatujakuambia endelea kuchat na wanaume zako!!
Una bahat sana kupata jamaa wa hivo ningekua mimi siku hiyo hiyo ungerudi kwenu na story ingeishia hapo!! Hivi ndivo ambavo siwaamini wanawake.
Jamaa akifikiriaa unyama ambao atamfanyia huyu manzi inabdi aishiee kuliaa tuuu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe endelea kuchezea masharubu ya Simba mzee ,sisi tunasubiri mrejesho wa ukiwa hai lkn hoi bin taaban au ukiwa umetangulizwa mbele ya haki.
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Huyu ni wale watu wanao.kusanya kidogo kidogo na kuhifandhi moyoni.
Siku atakapochoka. Uchebe atakuwa na nafuu.. ndio wake wanakata mke kwa shoka
 
Mwache Kwanza akusanye nguvu Kama broh Uchebe....Tutapata taarifa za kumuelewa kabla ya wewe kutoa taarifa kuwa ushaanza kumuelewa[emoji2]
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Kuwa makini uko na bomu litaripuka muda wowote
Mkaa gunia mbili
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Wee ndio unamatatizo unadhani alichofanya ushebe ni ujingaaa wanawake kama wewe mnatakiwa mpigwe hadi mfe kama hamkuwa tayari kuolewa why muwachezee wenzenuu
sinachakukushauri endelea natabia ya kipepooooo
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Bado maandazi,chai ya leo nzuri

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe gunia za mkaa zina andaliwa, anza kuaga mapema, maana unaweza kulala ukapotelea huko huko usingizini
 
Back
Top Bottom