Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe anakuja kukuua, ogopa Sana mtu wa namna hiyo ohoooo!🤣🤣Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
We nawe asa kwanini unamcheat!?, Wanawake bhana nani amewaroga aiseee☹️☹️Kidogo
Kaingia leo tu na mada nzito.Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Sio kwamba anafanya rehearsal ya msiba?
Hebu muulize "si mabaharia tulimwambia asioe, ona sasa kaoa Mara mke kagawa papuchi kwa mwengine""Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23]Naomba nijue ana ndevu kama Uchebe au kidevu chake kama Embe?