Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Wewe ndiyo type ya wale wanaojiua kimyakimya.
Bora ukose akuambie lakini si kuwa kimya au ivyo anavyolia inaumiza.
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Yaani wewe anakuja kukuua, ogopa Sana mtu wa namna hiyo ohoooo!🤣🤣
 
mkuu huyo jamaa atakachokuja kukufanyia hata shetani atabaki mdomo wazi, kwa kukusaidia tuu hebu fanya uchunguzi nina hakika atakua ashaanza kuandaa stock ya magunia ya mkaa kabisa.
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Kaingia leo tu na mada nzito.
 
We endelea tu, kuna siku isiyo na jina mchizi atachoka, atakuvizia usiku atakutwanga spana ya kichwa akili ikukae sawa.
 
Yani ww ni tahira kweli una miezi 4 tayari unachat na mwanaume mwingine cku akiamua kukupa kichapo lazima atakuuwa tu
 
We kenge jione bingwa kwa jamaa kutoa machozi mbele yako yaani ungejua mwamba analia ili kupunguza machungu ya kukumalizia mbali usingekuja na huu usi!
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Hebu muulize "si mabaharia tulimwambia asioe, ona sasa kaoa Mara mke kagawa papuchi kwa mwengine""

Ukiona unawaelewa wanawake jua UNAKARIBIA KUFA.

#YNWA
 
Back
Top Bottom