Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Sasa dada umempata mume kama huyo halafu bado unachepuka? Ila saa nyingine wanawake sijui tunatakaga tupewe nini yaani!
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Siku akichoka na Huo upuuzi wako basi jua baya linaweza kukufika hata mauti pia, Kuwa makini na Mumeo acha mapepe, Uliolewa kwa Hiari basi Jitulize

Uvumilivu unapofika kikomo basi jua lolote linaweza kutokea hapo
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Dada ushukuru sana .
Ingekua mm una manundu na mwili mzima unakuuma na sku ya pili kikao cha familia kikubwaa
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mtafutie kazi ya kulia kwenye vikundi ya kulia msibani
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Kwan wewe unahisi unajielewa?
 
Alafu unavyojisifia unadhani sifa.. yaani unajua ninavyokutamani shukuru mi sio huyo jamaa.
 
Kulia ni moja Kati ya njia zakutoa/ kupunguza sumu (maumivu ) moyoni. Lakini pia kulia ni miongoni mwa aina za hasira. Aina hiyo ya hasira ni mbaya sana mana huwa ni kuzuwia uchungu usitoke nje na kuishia ndani kwa ndani. Ko siku atakapo ruhusu hasira zikatoka nje sijui Nani atamuamua
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mmmh utauwawa siku si nyingi 😂
 
Huu ndo muda sahihi wa kuaga ndugu zako na kuchagua sehem ya kuzikwa huyo jamaa anakukusanyia makosa hukum ataitoa siku 1 usifikiri et ndo atalia hivyo hivyo had mzeeke wote
 
Back
Top Bottom