No Escape2
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 228
- 323
Zingatia sana ushauri wa wenzio hapo juu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu watalizwa hapa.Tangazo la Biashara.
Kuwa makini sana ujue anatafuta hela ya magunia mawili ya mkaa na kidumu cha petrolMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mshukuru sana Mungu wako.Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Ashukuru Mungu???? Unajua jamaa anaplan nini??Mshukuru sana Mungu wako.
Mbadala wa yeye kumwagia machozi ni kukushushia mangumi.
We can only guess!Ashukuru Mungu???? Unajua jamaa anaplan nini??
Pale mapenzi tunapodhani ni tendo la ndoa tu dah.Ndyo nampa kila kitu na mapenz pia
pumbavu weweMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
We endelea na uboya wako jamaa atakuja aku-shilole mpaka ushangae!Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]