Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Ana tatizo kubwa la kisaikolojia, kwa Sasa huwezi kulijua ila siku akikucharaza mapanga utafamu kiundani zaidi Hilo tatizo
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Kuwa makini sana ujue anatafuta hela ya magunia mawili ya mkaa na kidumu cha petrol

Usichukulie poa, kimbia
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Mshukuru sana Mungu wako.

Mbadala wa yeye kumwaga machozi ni kukushushia mangumi.
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
pumbavu wewe
 
Akikumbuka kesi ya mauaji inayokuja mbele ndiyo anaishia kulia tu
 
Tunaomba picha yako kabisa wakati tukijiandaa kukufungulia uzi wa kukupoteza mwana jf mwenzetu...
 
Huyo anakupimia. Atakuja kukukuua wala usifurahie huo Unormal wake unapomkosea. Watu km hao wanafuga uchungu ndani....Siku nyongo ikishindwa kustahimili...UJUE HUTAKUWEPO NASI TENA. Andika wosia kama alivyokushauri @ndakrepha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]comments hapanaa[emoji119]

Anyway jiandae tu just jiandae kuna kubwa linakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
We endelea na uboya wako jamaa atakuja aku-shilole mpaka ushangae!
 
Nimekumbuka rafiki yangu nae,, jamaa yake akikosea na akiulizwa basi anaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom