Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Kuwa makini watu wa namna hiyo siku uvumilivu ukimshinda anakupiga shoka moja chali na yeye anajisepesha au ajisepeshe yeye akuache uendelee na maisha yako
 
Uo kwenye ndoa miezi minne tu halafu unachat na mwanaume mwingine? Atakua analia kwa majuto

Tuli akwenye ndoa yako, muheshimu mumeo, jeng ndoa yako.

Akichoka kulia atahamia kwa mchepuka na hatarudi nyumbani halafu utabaki kulaumu
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
 
Punguza makali ya limbwata ili aanze kubweka kidogo kidogo maana siku likiisha lenyewe anaweza kuondoka bila kuaga au ndani kwako ikafunguliwa bucha
 
Huyo ni mume au boyfriend? Mlikaa muda gani Kwenye uchumba km ni mume? Ukuwahi kuyajua hayo yote?
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Heee siku utapigwa tukio hutokaa usahau, yani achana na mtu wa hivyo yote usidhani amesahau anawekaa moyoni anashauriana na serikali ya kichwa chake. Ipo siku atakutimua ama atakuachia nyumba kaanze upya.
 
Heee siku utapigwa tukio hutokaa usahau, yani achana na mtu wa hivyo yote usidhani amesahau anawekaa moyoni anashauriana na serikali ya kichwa chake. Ipo siku atakutimua ama atakuachia nyumba kaanze upya.
Bora apigweee...atajikuta yupoo ahelaaaa...!!
 
Duhh ,
Hii ndio sababu unachat na baharia! Hizi ndoa kila nikifikiria naona Ni bora kuwa single,
Imagine unaishi na mtu ambaye unajua kabisa ana under perform na huna guts za kumshape the way unavyotaka let alone kumwambia hali halisi ?

Sent
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Sio kwamba anafanya rehearsal ya msiba?
 
Back
Top Bottom