Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hiyo kidogo inayobaki, unamalizia huko huko kwa michepuko!Kidogo
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Sasa ww mwenye mume haumuelewi..sie tutamuelelewa kwel?
Anyways kwan uchebe anasemaje[emoji3]
yaani hajui Niga like those asiwachukulie poa..jamaa atakuja kuushangaza ukoo na ulimwengu mtu atafanywa soseji
Heee siku utapigwa tukio hutokaa usahau, yani achana na mtu wa hivyo yote usidhani amesahau anawekaa moyoni anashauriana na serikali ya kichwa chake. Ipo siku atakutimua ama atakuachia nyumba kaanze upya.Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Bora apigweee...atajikuta yupoo ahelaaaa...!!Heee siku utapigwa tukio hutokaa usahau, yani achana na mtu wa hivyo yote usidhani amesahau anawekaa moyoni anashauriana na serikali ya kichwa chake. Ipo siku atakutimua ama atakuachia nyumba kaanze upya.
Uchebe atakaa chini aandike notes za tukio zima.🤣🤣🤣Huyu ni wale watu wanao.kusanya kidogo kidogo na kuhifandhi moyoni.
Siku atakapochoka. Uchebe atakuwa na nafuu.. ndio wake wanakata mke kwa shoka
watu wa hivyo ni hatari sanaBora apigweee...atajikuta yupoo ahelaaaa...!!
Duhh ,Kidogo
Sio kwamba anafanya rehearsal ya msiba?Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]