Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia


Dada angu nakushauri sisi Wanaume wa kiafrika hua kiukweli hatupendi kudharauliwa na kushushwa kwa namna yeyote ile hata kama sisi tuna makosa.

Kitendo unachokifanya ni kumdharau kitu ambacho ni hatari sana kwako. Ningependa kukuomba kwanza kua makini nae Mmeo na lakini pia yakupasa sasa kubadilika. Please please..
 
Kuna siku utamuelewa usipobadili tabia na mwenendo wako
 
Kama kweli unayapenda maisha yako basi badilika yaani achana na michepuko, Ila usipobadilika nakuhakikishia hauna muda katika dunia hii.

Kingine ambacho hukijui huyo mumeo kuna uwezekano mkubwa sana ame ku track ktk maongezi yako ya simu hivyo anakuvutia pumzi tu.
 
Sasa dada umempata mume kama huyo halafu bado unachepuka? Ila saa nyingine wanawake sijui tunatakaga tupewe nini yaani!
Halafu dunia haiko fair.
Mwanamke Kama huyu anapata mwanaume mtulivu ila anachezea bahati na kuna wanawake watulivu wanapata wanaume pasua vichwa.
 
Wewe ni mwanamke mpumbavu
 
Halafu dunia haiko fair.
Mwanamke Kama huyu anapata mwanaume mtulivu ila anachezea bahati na kuna wanawake watulivu wanapata wanaume pasua vichwa.
Ndivyo inavyokuwa, wanawake wahovyo hupata wanaume kichwa, na wife material hupata Mme mbulula [emoji23]
 
Wazee wake mumeo walimsuka mtoto wao vyema. Wazee wako walishindwa kufanya majukumu yao
 
Weka mbali magunia ya mkaa na silaha zozote zilizopo nyumbani maana yajayo yanatetemesha
 
Sasa wewe ulitegemea akufanye nini, inaonekana kuwa humpendi unafanya maigizo tu, hadi unachati na wanaume na kujionesha kwake?!
Ushauri wangu kwa hili achana na uyo jamaa Kama huna mapenzi nae mapema kabla hajakula kiungo kimoja kimoja cha mwili wako.
 
Subiria gunia za mkaa... kwanza huna busara, umeolewa kupata cheo tu cha mke. Unachokitafuta utakipata. Acha kutesa mtoto wa mwanamke mwenzio halafu mkipigwa mkauliwa mnatuchosha mitandaoni
 
Hiyo sio ndoa ni kambi ya vichaa,maana hata wewe hapa umetoa maelezo tuu mwisho naona umeweka vi emoji vya kulia,embu tuache sisi tupo msibani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…