Muirak
Kuna siku utamuelewa usipobadili tabia na mwenendo wakoMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
HahahahaJamaa akifikiriaa unyama ambao atamfanyia huyu manzi inabdi aishiee kuliaa tuuu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu dunia haiko fair.Sasa dada umempata mume kama huyo halafu bado unachepuka? Ila saa nyingine wanawake sijui tunatakaga tupewe nini yaani!
Wewe ni mwanamke mpumbavuMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Ndivyo inavyokuwa, wanawake wahovyo hupata wanaume kichwa, na wife material hupata Mme mbulula [emoji23]Halafu dunia haiko fair.
Mwanamke Kama huyu anapata mwanaume mtulivu ila anachezea bahati na kuna wanawake watulivu wanapata wanaume pasua vichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndivyo inavyokuwa, wanawake wahovyo hupata wanaume kichwa, na wife material hupata Mme mbulula [emoji23]
Yaani mahusiano hayapo fair kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mno[emoji38]Yaani mahusiano hayapo fair kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwache achezee shilingi chooni haaa haaaMno[emoji38]
Wengine tunatafuta mwanaume kama huyo wengine wanamchezea kwa kumliza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwache achezee shilingi chooni haaa haaa
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Weka mbali magunia ya mkaa na silaha zozote zilizopo nyumbani maana yajayo yanatetemeshaMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Hiyo sio ndoa ni kambi ya vichaa,maana hata wewe hapa umetoa maelezo tuu mwisho naona umeweka vi emoji vya kulia,embu tuache sisi tupo msibaniMimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.
Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
Miezi minne tu kwenye ndoa unachat na mwanaume mwingine kimapenzi! Ni umalayer au shetani kakupitiaKidogo