Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Nashindwa kumuelewa mume wangu, nikimkosea anaishia kulia

Simple
Acha umalaya na yeye ataacha kulia
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nmekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nmemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]
 
Huyo mume wako anaonekana atakuwa na hasira sana
Kifupi anaweza hata kujinyonga
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

We jiandae kutolewa kis#m#
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

Duuuh
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

Kwani ukichati na wanaume wengine kuna Kosa gani? Si unatafuta soko la uchi wako? Sasa uchi wako unamhusu nini mmeo? Labda analia kwa kujutia kuweka shimo la taka chumbani kwake. Na ndio maana haoni Kosa lako, mwenye Kosa ni yeye mwenyewe.
 
Anapolia huwa anakuwa ana lipanga kali amelifutika kiunoni ila wewe hujui tu
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

Andika wosia mapema
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

Una Mume na unachati kimapenzi na Mwanaume mwingine..... Maliza Kwanza umalaya lanm sivyo gunia la mkaa litakuhusu.....
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

Eeeeh l
 
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.

Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka akiwa normal kama hamna kitu nimemfanyia.

Jamani mimi nashindwa kumuelewa naombeni msaada wenu.[emoji24][emoji24]

ndoa ya miezi 4 unachati na mwanaume wa nje?
 
Back
Top Bottom