Nashindwa kumwacha hata kama hanitaki tena

Niulize Ivi kwani wewe kukataliwa hujui eeh? staki mwenzie basi,niafadhali uumei kwa sasa mda mdogo kuliko kuumia
maisha,mwanamme ameumwa kua mvumilivu,muelewa,mstarabu na anaekubali matokeo,sisemi rahisi ila sema na moyo wako utakuelewa,kamwe usipende usipopewndwa,chukua jishughulishe na mambo mengine,na amini huyo hakua na kheir na wewe ndio mana hukua nae na kumbuka kila kinachokuepuka kina kheir na wewe,vuta subra muombe muumba wako akupe uvumilivu na moyo wa ujasiri akupe mwenye kheir na wewe awe wako wa maisha wa kufa nakuzikana..
 
Simp
 
Muda ni wakati sahihi nadhani sasahvi unajiuliza ni mimi kweli yule dada/kaka alinisumbua akili hivyo,?
Unajicheka tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…