Nashindwa kumwoa kwa sababu ya mtoto

Nashindwa kumwoa kwa sababu ya mtoto

jamani.................... mbali na ubeijing, hata kwa mimi mutu na mutoto ngumu kumesa aisee..................

jamani masistaz............... jitahidini kubana naniliu zenu ili angalau mfikie ndoa asee................... mnaona sasa bahati zinavyowakimbia mchana kweupeee??!!!...................
 
Ni kweli kuwepo kwa mtoto (na baba yake), potentially kunaweza kuleta changamoto. Lakini cha muhimu ni kuwa suala la yeye kuwa na mtoto lipo wazi (naamini dada hakujaribu kulificha) kwako kabla hata hujaamua kuwa na uhusiano nae. Kama ukiamua kumuoa ni vema ukajiandaa kisaikojia na changamoto zinazoweza kujitokeza na pia kama mkiweza (inawezekana) mnaweza kuweka utaratibu mtoto akachukuliwa na baba yake ili nyinyi wawili muanze 'fresh'! Kutokana na maelezo yako naamini unampenda huyo dada na yeye anakupenda kwa kiwango kinachoweza ku-sustain ndoa.

Hata hivyo kama hutaki kumwoa, sikushauri kuendelea kuwa na mahusiano nae (hata ya kisiri) kama yeye anavyopropose...hiyo itakuwa sumu kwenye ndoa yako na kwa kweli utakuwa humtendei haki mwenza wako mwengine (ni sawa na kama vile uamue kumwoa huyo dada halafu ugundue anaendelea kushiriki kwa siri na baba wa huyo mtoto......utajisikiaje?)

Asante ndugu kwa ushauri wako.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
jamani.................... mbali na ubeijing, hata kwa mimi mutu na mutoto ngumu kumesa aisee..................

jamani masistaz............... jitahidini kubana naniliu zenu ili angalau mfikie ndoa asee................... mnaona sasa bahati zinavyowakimbia mchana kweupeee??!!!...................

Kuolewa nako ni bahati?
 
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana).
Mwaka 2009 nilikutana na msichana mmoja ambae nilimpenda sana lakini huyo msichana alizaa mtoto wa kiume tangu 2004 na mimi nililifahamu hilo. Kwa wakati huo sikua tayari kuoa na sikutaka kufanya maamuzi ya kumchagua mwanamke wa kuishi nae ila mwili una mahitaji na matamanio yake, hayo matamanio yakanisukuma kutengeneza ukaribu na huyo binti nayeye akaingia kwenye line. siku ilipofika nikamwita nikamwambia kua nampenda ila habari ya ndoa sio warrant, yule binti alikubali kwa shingo upande tukaingia kwenye mahusiano japo changamoto zimekuwepo lakini tumeweza kumaintain.
Sasa muda wangu wa kuoa umefika na bado I can see the lady is beutiful, ni msichana anaenijali na kunisupport lakini ninashindwa kumwoa eti kwa sababu ya mtoto wake. Kwa kweli tatizo kubwa ninaloliona mimi ni hilo la mtoto. Yeye mwenyewe alishaniambia kua hana kipingamizi kuhusu kuoa kwangu endapo nitaoa mwanamke mwingine yuko tayari au km nikimtaka yeye mwenyewe yuko tayari ila anasema km nikioa mwanamke mwingine bado uhusiano wetu utaendelea japo kimya kimya
Sasa ndugu zangu nimeleta mada hii kwenu mnisaidie kwa kunipa ushauri ni jambo lipi la kufanya.
Tafadhali ushauri wako ni muhimu

Asante
Kwa hiyo tittle tu inaelekea hujampenda huyo binti
 
Mimi ni kijana wa miaka 27. katika michakato ya kimaisha nilijiwekea utaratibu kua sitaoa mwanamke ambae ana mtoto kwa sabaabu zangu mwenyewe tu (sio logic sana).
Mwaka 2009 nilikutana na msichana mmoja ambae nilimpenda sana lakini huyo msichana alizaa mtoto wa kiume tangu 2004 na mimi nililifahamu hilo. Kwa wakati huo sikua tayari kuoa na sikutaka kufanya maamuzi ya kumchagua mwanamke wa kuishi nae ila mwili una mahitaji na matamanio yake, hayo matamanio yakanisukuma kutengeneza ukaribu na huyo binti nayeye akaingia kwenye line. siku ilipofika nikamwita nikamwambia kua nampenda ila habari ya ndoa sio warrant, yule binti alikubali kwa shingo upande tukaingia kwenye mahusiano japo changamoto zimekuwepo lakini tumeweza kumaintain.
Sasa muda wangu wa kuoa umefika na bado I can see the lady is beutiful, ni msichana anaenijali na kunisupport lakini ninashindwa kumwoa eti kwa sababu ya mtoto wake. Kwa kweli tatizo kubwa ninaloliona mimi ni hilo la mtoto. Yeye mwenyewe alishaniambia kua hana kipingamizi kuhusu kuoa kwangu endapo nitaoa mwanamke mwingine yuko tayari au km nikimtaka yeye mwenyewe yuko tayari ila anasema km nikioa mwanamke mwingine bado uhusiano wetu utaendelea japo kimya kimya
Sasa ndugu zangu nimeleta mada hii kwenu mnisaidie kwa kunipa ushauri ni jambo lipi la kufanya.
Tafadhali ushauri wako ni muhimu

Asante

Hapo kwenye red: Je baba wa huyo mtoto yupo? Kama yupo si kwamba anaendelea naye kimya kimya huku akiwa na wewe? Mwanaume anayeoa mwanamke mwenye mtoto nafikiri yuko tofauti na wanaume wengine - yaani 'not serious' na maisha yake!
 
Haswaaa vinginevyo utaishia kumegwa ovyo ovyo na kutuletea vimjomba vikiwa na baba tofauti tofauti

Kwahiyo wanaoolewa na kutoka nje ya ndoa zao wao hawamegwi hovyo hovyo? Na watoto wanaozaa nje ya ndoa hawana baba tofauti tofauti?

Bado sijaona bahati hapo.
 
duh! sasa mwana sikiliza hapa.
huyu dada kwa kuwa tayari ana mtoto tayari options zake za wanaume zimeshika karibia na zero....ndio maana kasema yeye yupo tayari nyie kuendelea kuwa na mahusiano na wewe ata kama ukioa demu mweingine. hii ni kwa sababu akiachana na wewe mwanaume mwengine nae atakuja kumtumia tuu mwisho wa siku ataishia kuwa na mlolonngo wa wanaume ndio maana anaona bora atulie nawe.

wat to do? mie kusema kweli kwanza kabisa hujatupa history ya jinsi walivyoachana na huyo baby daddy....pili kama ukikubali kumuoa ujue kabisa pale akilea yule mtoto ipo siku mtoto atataka kumuona real dad wake na pia usitegemee mengi kwa huyo mtoto wee toa msaada tuu.
if u so decide kuoa mwengine basi ukiendelea na huyo ujue kuna drama maana hawa dada zetu drama is in their dna thats for sure. kweli free k ni nzuri na tempting but in the final analysis very expensive. hatujui nini anapanga moyoni na women are vicious kijana wee waheshimu tuu kama mama zetu. tafakari hayo kwanza.

Nakushukuru sana mwanajamii kwa ushauri wako ndugu yangu.
 
Folow ua heart ila wht if huyo ambaye hatakua na mtoto akawa hana mapenz ya dhati...
 
Hujampenda, kama huwezi waachie wengine ambao watampenda mama na mtoto.
 
Achaneni upesi na hata ukioa mwingine msiendeleze mahusiano kwa siri.
Hivi kwa mfano ukimpa mimba huyo binti itakuwaje tena hapo?
 
sijui kabila lako,lakini uhayani ukioa mwanamke aliyewahi kuzaa au kuolewa wanasema 'washwela enyailya' na huruhusiwi 'kuramya' na ukifa unazikwa na 'omugogo' ku symbolize kwamba umekufa 'bila kuoa'.
yaani 'nyailya' ni mwanamke ambaye keshazaa kabla ya ndoa au kaachika,'kuramya' ni special greeting ya wanandoa wanaume,'omugogo' ni kipande cha shina la mgomba.
 
kwanza mshukuru mungu kwa kupata mtu anayekupenda.pili shukuru kuwa una uhakika huyu demu ana kizazi maana unaweza kuoa demu ambaye hajazaa kumbe hana uwezo wa kuzaa. We unaona kipi bora? Kuoa demu ambaye kashatoa mimba tatu bila wewe kujua na kuoa demu ambaye ana mtoto mmoja na hajawahi kuharibu kizazi chake.pima mambo kwa akili sana. Kama alizaa mbwa usioe ila kama alizaa binadamu kama wewe oa huyo ndo mwanamke.
 
Kuolewa nako ni bahati?

bila shaka mkuu................ kama una wasiwasi na hili, kawaulize wale ambao hawajajaaliwa kuolewa watakwambia.................. usiwaulize mabinti wanaotafuta wachumba, ........................wala watalaka waliokwishajikubali kuishi hivyo, ................bali waulize wale ambao hawajawahi kabisa kulipiwa nahari, hata ya maneno(ahadi) tu...................... wale ambao hawajawahi kumtambulisha mtu yoyote kwa wazazi/walezi kama mchumba/mume................... wale wanajithamini na kujitambua kama wasichana/wanawake.................. na walio tayari kubeba dhamana ya usichan/umama hapa duniani................ najua unawafaham,u vizuri ninaowaongelea, ............. yes, haohao................. kawaulize hao watakuambia ukweli.......................

kuolewa ni kuchaguliwa ............. ni kukubaliwa!.................. ni kupendwa ni................ kuhitajika ............. ni kutakwa............ ni kuthanimiwa.................ni kukaribishwa................ ni kulakiwa................ ni kuombwa....................ni kubembelezwa................. ni kubusiwa...................... ni kukumbatiwa................. ni kuchukuliwa..............ni kutunzwa.................... naam, na zaidi ya hayo!!............

sasa kwa nini unadhani si bahati mpendwa???.........................
 
ndugu yangu mbona unachekesha kwani mtoto anahusu nini katika ndoa wewe cyo mwoaji
 
bila shaka mkuu................ kama una wasiwasi na hili, kawaulize wale ambao hawajajaaliwa kuolewa watakwambia.................. usiwaulize mabinti wanaotafuta wachumba, ........................wala watalaka waliokwishajikubali kuishi hivyo, ................bali waulize wale ambao hawajawahi kabisa kulipiwa nahari, hata ya maneno(ahadi) tu...................... wale ambao hawajawahi kumtambulisha mtu yoyote kwa wazazi/walezi kama mchumba/mume................... wale wanajithamini na kujitambua kama wasichana/wanawake.................. na walio tayari kubeba dhamana ya usichan/umama hapa duniani................ najua unawafaham,u vizuri ninaowaongelea, ............. yes, haohao................. kawaulize hao watakuambia ukweli.......................

kuolewa ni kuchaguliwa ............. ni kukubaliwa!.................. ni kupendwa ni................ kuhitajika ............. ni kutakwa............ ni kuthanimiwa.................ni kukaribishwa................ ni kulakiwa................ ni kuombwa....................ni kubembelezwa................. ni kubusiwa...................... ni kukumbatiwa................. ni kuchukuliwa..............ni kutunzwa.................... naam, na zaidi ya hayo!!............

sasa kwa nini unadhani si bahati mpendwa???.........................

What a bunch of nonsense. Watu wanaolewa wanaishia kuachwa ndani wakati mwanaune anaenda kwa nyumba ndogo zake unaniambie eti ni "kupendwa, kuthaminiwa" na blah blah nyingine? Bado sijaona bahati ilipo.

Kuoa na kuolewa ni kuoa na kuolewa, nothing more, nothing less. Bahati ipo kwenye kumpata mtu anaeelewa maana ya mahusiano ya watu wawili na anaeheshimu muungano wao. Hayo mengine ni ubatili mtupu.
 
What a bunch of nonsense. Watu wanaolewa wanaishia kuachwa ndani wakati mwanaune anaenda kwa nyumba ndogo zake unaniambie eti ni "kupendwa, kuthaminiwa" na blah blah nyingine? Bado sijaona bahati ilipo.

Kuoa na kuolewa ni kuoa na kuolewa, nothing more, nothing less. Bahati ipo kwenye kumpata mtu anaeelewa maana ya mahusiano ya watu wawili na anaeheshimu muungano wao. Hayo mengine ni ubatili mtupu.

duh!!................. nimekoma aisee...........................
 
Back
Top Bottom