Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aibu kubwa sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo swali wa kuliuliza alikuwa Melo siyo wewe ambaye umekaribishwa pia,hivi umewahi kuwapigia Tigo customer care ukafanikiwa kuongea na muhudumu?
Kila nikijaribu kuaccess Tigopesa naletewa huo ujumbe, mambo yanakwama na hela ndio zipo humo, shida nini? Naambatanisha picha.
View attachment 1646842
No 100 wanasema inaongea! Kiujumla nikiyuko hii tanzania nishiida.Unajichelewesha bure namba 100 ipo bure, ofisi zipo. Kama unadhani huku ndio watakusadia sawa.
Buku??! ,kuna mzigo mkubwa sana hapa nashindwa kununua na hasara kubwa nitaipata , we unaongelea buku?!!!Wakirekebisha system watutembezee bukubuku ya samahani
Unataka kutupa lawama kwa MagufuliAibu kubwa sana !
mambo ya kupenda dezo. za kiuanafunzi. hamieni mitando ya wakubwaTigo tusaidieni maelezo,*150*01# inagoma
inasema
"Ndugu mteja, namba hii haipo. Kupata huduma za Tigo Pesa, piga *150*01#"
wakati umepiha namba hiyo hiyo.
Wanazingua
Nishaongea na watu wa tcra , natayari waneshaachia.Unataka kutupa lawama kwa Magufuli
Ndio akili yako inavyokutuma SI ndio?
😂😂😂, mtandao usharudi bhana..mambo ya kupenda dezo. za kiuanafunzi. hamieni mitando ya wakubwa
tiGO hiyoHiyo shida nami nimekutana nayo asubuhi yaleo nikawapigia wakanijibu kua kuna shida yamrandao ila soon itakua poa kwl majira haya ya sa6 kasoro nimefanya muamala vizur tu bila shida yoyote ila TIGO WALICHOTUFANYIA SIO POA ,KIPINDI CHAKATI KATI HAPA ILIKUA KUTUMA PESA TIGO KWENDA TIGO NI BURE SASA KUMBE ILIKUA NI OFA TU NAIMESHAISHA KUDA WAKE , LEO WAMENIFYEKA ADA YAKUTUMIA HADI NIKASONYA
Chadema wanasemaje hawajatoa tamko bado [emoji16] [emoji23]Aibu kubwa sana !
Sidhani Kama nilikua na shida hiyo? Hayo unge mweleza mtoa mada kiongoziNishaongea na watu wa tcra , natayari waneshaachia.