kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
ukitaka mbona utakutana nao mpaka majini lol
Neema inishukie angalau siku moja nimgegede hata mmoja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukitaka mbona utakutana nao mpaka majini lol
Heeeeeeee nyie Huyu khaaaaaa inamaana unaokutana nao mitaani hawatumii smartphone[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Wanawake wa mitandaoni sio mkuu umebugi
PoleWanawake wa mitandaoni sio mkuu umebugi
Njoo inbox uniprovie kuwa nipo wrongPole
inbox na hapa neno la kukwambia ni hilohilo POLE sasa kama neno dogo hilo hujalielewa sidhani kama utanielewa nikiweka na mengineNjoo inbox uniprovie kuwa nipo wrong
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ww mwenyewe sasa hivi umeshakuwa wa mtandaoni, vip dem wako akuache au? Ivi kwan hawa wanawake wa mtndaoni wanaishi wap? Au ukipata dem uraiani akiwa akiwa na account fb, insta, jf n.k , ndo utamuacha kisa ni wa mitandaoni , me nahisi hizi ni njia tu za kukutana na watu, kama vile unavyokutana nao kwenye bus, shulen, mtaani n.k, usiwe na mawazo mgandoWanawake wa mitandaoni sio mkuu umebugi