Nashukuru kiuno changu ni 36 tu, hivyo ni miongoni mwa wale ambao sipo hatarini kukumbwa na tatizo lolote

Mbona umekuwa mkali ghafla mkuu
 
Hahaaaa hatari...mazoezi muhimu kukata wese.
 
Janabi kwa kumuangalia anaonekana ana tatizo la afya ingawa kiuno chake ni chini ya 38.
 
Hahahaha!
Na mwanamke anatakiwa awe na size ngapi.....?
 
Kwa maumbile ya wanaume inapendeza awe na size 38 mwisho lakini akiwa na 40 na zaidi sio mbaya ni maumbile ambayo amepewa.

Mwanamke anapendezea akiwa na kiuno size 38 mpaka 43 kwani wao wamejiwa hips
Mbona mnanichanganya 38?
 
Hanabi = Janabi
 
Na nasikia Geniuses wengi ndiyo huwa Kiuno chao / Size yao hii Mkuu je, kuna Ukweli wowote?
Hata mimi hakizidi 40 nadhani kinacheza 35-37, kiling'ang'ana kwenye 35 kwasasa minyoo nadhani imeongezeka kinaelekea 37
 
Huyo Janabi mwenyewe nikimwangalia tu hiyo afya yake haijakaa sawa.sasa sijui anashauri watu kitu gani?
 
Mbona kama umeteseka? Ni ushauri tu.
 
Kuna watu wengi wembamba wana matatizo hayo hayo
Vp umepima pressure, moyo, figo,ini, tezi dume?
Hapo ndo unaweza ukasema uko salama
 
Kwan janabi alisemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…