Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Kwa maelezo haya inabidi tu nikuulize: wewe ni jinsia gani? Unamkuta snaliwa denda, anakufokea, unsmuomba msamaha?
 
I hope utapoteza simu yako ili upoteze kila kitu kuhusu JF tukusahau pumbavu wahedi wewe.
 
U need to think deeply mzee. Sio sawa hii, umezngua.
 
Kuna limbwata kali zinaweza kukutengeza ukawa msukule mithili ya my brother hapa
 
Najua ni story ya kutunga kwa lengo la kufurahi japo vilaza wa namna hiyo wapo😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…