Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Bora wewe, kuna watu wanakomenti kana kwamba hayajawakuta,kumbe wanalea watoto sio wao na wakijua kabisa,ila cz wanawapenda wake zao wapo kimya.
 
Kiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.

Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.

Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.

Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.

Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu si nzuri kwenye mahusiano.

Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.
🤮
 
Kiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.

Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.

Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.

Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.

Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu si nzuri kwenye mahusiano.

Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.
Itoshe kusema unatuzalilisha wanaume you sounds pathetic

How can you marry someone who cheats on you

There are plenty of beautiful ladies outhere watakao kurespect and truly deserves to be married.

Acha ujinga, Quit your nonsense GoBig explore the world someone interesting is just outhere waiting for you ......

DON'T BE TORTURED EMOTIONALLY ......UNACHUKIZA🙄

Once a girl cheat it's a different story....
 
Itoshe kusema unatuzalilisha wanaume you sounds pathetic

How can you marry someone who cheats on you

There are plenty of beautiful ladies outhere watakao kurespect and truly deserved to be married.

Acha ujinga, Quit your nonsense GoBig explore the world someone interesting is just outhere waiting for you ......

DON'T BE TORTURED EMOTIONALLY ......UNACHUKIZA🙄

Once a girl cheat it's a different story....
Mwanaume hawezi andika
Unatuzalilisha.

Pia huwezi ukatumia subject ya YOU na verb ya SOUNDS. if you don't know english don't use it.

Truly DESERVE to be married

Outhere❌
Out there✅

Kila mtu ana anachopenda na ikipenda roho mtu hula nyama mbichi. Mimi nimeridhika na wangu. Nina amani sina mateso. Nimependa. Hilo ndiyo la msingi. Tusipangiane maisha.
 
Now you are correcting my English......
Little do you know that it's my first language.
We humans are like crystals it's fracture inside us that makes us interestingly beautiful what i mean is we humans ain't perfect so if you look for imperfection you will always find it there . What you have just corrected me even a little kid can know..... Smthng i want you to fathom is, when a lady cheats it's a whole different story it doesn't take a genius to comprehend it...
Even a feable human mind can understand....
Dearly what you wrote it's a little bit juvenile get ur feet together,dunno what ur thinking buh someone interesting is always out there waiting for you. Don't excell yourself too deeply into ur stupid philosophy ,,,am writing you this not out of hate but love and hope, i have been there ,i understand and i don't feel good seeing someone going through the same shit!

A correction of your "correction"
"You sounds pathetic"
Which tense is that , which case is that nominative, accusative,dativ, or genetive,
That shows i did a mistake to use that pronoun and that verb ,
These feeling your holding in to , it's all a lie..... hopefully someday you will be able to see and move on.
Have a wonderful life
With regards
FlyingDutchman
 
Al
Mwanaume hawezi andika
Unatuzalilisha.

Pia huwezi ukatumia subject ya YOU na verb ya SOUNDS. if you don't know english don't use it.

Truly DESERVE to be married

Outhere❌
Out there✅

Kila mtu ana anachopenda na ikipenda roho mtu hula nyama mbichi. Mimi nimeridhika na wangu. Nina amani sina mateso. Nimependa. Hilo ndiyo la msingi. Tusipangiane maisha.
Also a little advice for you....
This isn't a formal conversation that i have to check grammar and all kind of stuffs.....

Sometimes using fancy English words doesn't necessarily make you sound intelligent! Sometimes it makes you look arrogant and stupid

I am saying this because you used my mistake which turned out to be not a mistake at all as your sweet spot to sound smart!
 
Al

Also a little advice for you....
This isn't a formal conversation that i have to check grammar and all kind of stuffs.....

Sometimes using fancy English words doesn't necessarily make you sound intelligent! Sometimes it makes you look arrogant and stupid

I am saying this because you used my mistake which turned out to be not a mistake at all as your sweet spot to sound smart!
Not stuffs(there is no s even in plural). Only stuff. I am the one who should give you a piece of advice. Just use swahili.
 
Not stuffs(there is no s even in plural). Only stuff. I am the one who should give you a piece of advice. Just use swahili.
I'd like to send you with a tost
Screenshot_20221127-202530.jpg
 
Not stuffs(there is no s even in plural). Only stuff. I am the one who should give you a piece of advice. Just use swahili.
I speak 5 different languages Don't try to act smart!
I am full of facts and I'll surprise u.
images (91).jpeg

With these kind of arguments, you've just proved that u are one!
 
I never thought you'd be that much dumb and fool. Find some stupid people to tell this.🤣
A fall of the brave man It's a victory of an idiot... ur an idiot and stupid no wonder you're still wetting your mom's bed.
Ur entrenched proposition of infallibility of the brave man tells a lot about ur personal
Your unsophisticated ideas can't even sieves formality and informality of a very friendly conversation
You seems like skeptical idiot..
My advice weren't even convuleted it's just that your essence attributes your fragility
I am enigmatic person.....i won't argue with you anymore........
Whatever you ascribe to the comment after this the victory is all yours idiot,Enjoy.
 
mkuuu umetuzarilisha sana wanaume ,najua,huna kazi kama umesoma naomba,nikutaftie scholarship uende ugaibuni manake sio kwa kukosa,kazi huko aiseee
 
mkuuu umetuzarilisha sana wanaume ,najua,huna kazi kama umesoma naomba,nikutaftie scholarship uende ugaibuni manake sio kwa kukosa,kazi huko aiseee
Umetuzaririlisha❌
Umerudhalilisha✅
Nikutaftie❌
Nikutafutie✅
Ugaibuni❌
Ughaibuni✅
Mi naomba uanze kujitafutia scholarship kwanza usome mpaka kidato cha nne then ukimaliza ndo unitafutie na mimi ya kwenda ughaibuni.
 
Back
Top Bottom