mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
One man down
I repeat one man down
We need back up
Officer do you copy
I repeat one man down
We need back up
Officer do you copy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume ukiwa na Komwe bana akili hazikamatiKiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.
Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana.nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.
Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.
Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi.kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla.siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.
Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu.si nzuri kwenye mahusiano.
Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.
Maji mengiMnamdiss Mwamba skilizeni hii Ngoma ya I-octane inaitwa we found love( rising sun riddim),hasa verse ya pili inaelezea scenario kama ya jamaa yetu huyu!
Upendo ni Kitu cha ajabu sana! Biblia inasema Upendo unanguvu kuliko maji mengi.
"Love is a powerfull thing, takes you higher than a mountain, even if you are right you still want to say sorry"- I octane, we found love(rising sun riddim)Hahahahahaaaa,nimesoma huu uzi wako nikiwa nacheka yaan
Kapuku mate am happy to see you hereHello Sheddy?
Another man downKiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.
Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana.nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.
Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.
Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi.kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla.siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.
Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu.si nzuri kwenye mahusiano.
Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.
Thank you Mate..Kapuku mate am happy to see you here
Huyu atakua kikooziNimejizuia kucomment ila nimeshindwa
Nikuuulize!!!
Wewe ni yule member Daktari wa meno aka Mtanesco?
Huo ni udayuthi sio upendo.Mnamdiss Mwamba skilizeni hii Ngoma ya I-octane inaitwa we found love( rising sun riddim),hasa verse ya pili inaelezea scenario kama ya jamaa yetu huyu!
Upendo ni Kitu cha ajabu sana! Biblia inasema Upendo unanguvu kuliko maji mengi.
Mmmh... Penzi ni upofu.Huo ni udayuthi sio upendo.
Mwanaume ukifikia hatua hiyo unakuwa umepoteza sifa ya uanaume!!