Nashukuru nimeanza Mwaka 2025 vizuri bila makandokando

Nashukuru nimeanza Mwaka 2025 vizuri bila makandokando

Mkeo mshamba sana.me sipekui simu ya mwanaume never. Wenzake wanadili na wallet yeye anatafuta stress
Haya akukufumania jeuri ya kuondoka anayo? Si atakaa hapo ndani bila kuoga mwezi ?
Natamani ungekuwa kungwi wake
 
Natamani ungekuwa kungwi wake
Yaani maana ya simu ya mkononi. Ni nini?
Mshamba Tu kutafuta maugomvi bila sababu .huo muda Bora akuibie hela kwenye wallet.ndo habari za mjini siku hizi
Unaibiwa Hadi nauli.ila wanawake ahaaa
 
Wengine tunashukuru tarehe moja inaisha hatujafanya uasherati
 
Leo asubuhi niliacha simu imezagaa zagaa bila kuifunga. Niliporudi nikakuta Afisa Upelelezi anaifanyia upekuzi wa kina bila kibali. Ikabidi nimtazame machoni kiwiziwizi kuona kama kuna chozi linalenga lenga. Sikuona chozi ila nikaona ni kama mtu anayevuta kumbukumbu fulani. Ikabidi nitoke nje kupanga mbinu ikiwa nitadakwa na kashfa yeyote basi nije na uongo gani. Lakini pia kukumbuka kama kuna sms nilisahau kufuta maana huu uchunguzi umekuja ghafla.

Baada ya muda nikaona ameendelea na mambo mengine. Nikajua hapa kuna amani, nikarudi. Akaniambia "Bahati yako leo, ila nitakukamata tu! Simu yako ile pale"

Daah nashukuru nimeanza mwaka kwa bashasha bila makandokando. Kwa hiyo nimeanza mwaka na kafeeling fulani kapekuliwa simu halafu usikutwe na umalaya wowote.
Aidha safari hii shetani amezembea kuniharibia amani.

Heri ya Mwaka Mpya Wakuu
Usijisifu sana Mzee...kama ameanua haifiki valentine's hujadakwa
 
Mkeo mshamba sana.me sipekui simu ya mwanaume never. Wenzake wanadili na wallet yeye anatafuta stress
Haya akukufumania jeuri ya kuondoka anayo? Si atakaa hapo ndani bila kuoga mwezi ?
HILI NALO MKALIANGALIE
 
Hiii ni Kwa wajanja kidogo😂kama jamaako kutuma Email mpaka aende stationary huyo hamna shida we kagua simu ndogo, normal text & watsup
Kwenye email hawezi sense Ila kwa anaejua afu mesej ikapopup kitaumana

Kiufupii simu yangu hashiki mtu!!! Hashiki mtu!!! Hashiki mtu!!
 
Leo asubuhi niliacha simu imezagaa zagaa bila kuifunga. Niliporudi nikakuta Afisa Upelelezi anaifanyia upekuzi wa kina bila kibali. Ikabidi nimtazame machoni kiwiziwizi kuona kama kuna chozi linalenga lenga. Sikuona chozi ila nikaona ni kama mtu anayevuta kumbukumbu fulani. Ikabidi nitoke nje kupanga mbinu ikiwa nitadakwa na kashfa yeyote basi nije na uongo gani. Lakini pia kukumbuka kama kuna sms nilisahau kufuta maana huu uchunguzi umekuja ghafla.

Baada ya muda nikaona ameendelea na mambo mengine. Nikajua hapa kuna amani, nikarudi. Akaniambia "Bahati yako leo, ila nitakukamata tu! Simu yako ile pale"

Daah nashukuru nimeanza mwaka kwa bashasha bila makandokando. Kwa hiyo nimeanza mwaka na kafeeling fulani kapekuliwa simu halafu usikutwe na umalaya wowote.
Aidha safari hii shetani amezembea kuniharibia amani.

Heri ya Mwaka Mpya Wakuu
Muhasibu huna baya...🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom