OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Natamani ungekuwa kungwi wakeMkeo mshamba sana.me sipekui simu ya mwanaume never. Wenzake wanadili na wallet yeye anatafuta stress
Haya akukufumania jeuri ya kuondoka anayo? Si atakaa hapo ndani bila kuoga mwezi ?
Yaani maana ya simu ya mkononi. Ni nini?Natamani ungekuwa kungwi wake
🤣🤣🤣🤣 acha basi yale ya zamani kashapata pisi mpya kutoka Ruvuma huko kapona majeraha ya moyoSi uliachwa juzi Tu hapa? Kweli jf fix nyingi
Usijisifu sana Mzee...kama ameanua haifiki valentine's hujadakwaLeo asubuhi niliacha simu imezagaa zagaa bila kuifunga. Niliporudi nikakuta Afisa Upelelezi anaifanyia upekuzi wa kina bila kibali. Ikabidi nimtazame machoni kiwiziwizi kuona kama kuna chozi linalenga lenga. Sikuona chozi ila nikaona ni kama mtu anayevuta kumbukumbu fulani. Ikabidi nitoke nje kupanga mbinu ikiwa nitadakwa na kashfa yeyote basi nije na uongo gani. Lakini pia kukumbuka kama kuna sms nilisahau kufuta maana huu uchunguzi umekuja ghafla.
Baada ya muda nikaona ameendelea na mambo mengine. Nikajua hapa kuna amani, nikarudi. Akaniambia "Bahati yako leo, ila nitakukamata tu! Simu yako ile pale"
Daah nashukuru nimeanza mwaka kwa bashasha bila makandokando. Kwa hiyo nimeanza mwaka na kafeeling fulani kapekuliwa simu halafu usikutwe na umalaya wowote.
Aidha safari hii shetani amezembea kuniharibia amani.
Heri ya Mwaka Mpya Wakuu
HILI NALO MKALIANGALIEMkeo mshamba sana.me sipekui simu ya mwanaume never. Wenzake wanadili na wallet yeye anatafuta stress
Haya akukufumania jeuri ya kuondoka anayo? Si atakaa hapo ndani bila kuoga mwezi ?
Aaaah kumbe!!!Tumia Email & Telegram maafisa upelelezi sio rahis kusense huko
Hiii ni Kwa wajanja kidogo😂kama jamaako kutuma Email mpaka aende stationary huyo hamna shida we kagua simu ndogo, normal text & watsupAaaah kumbe!!!
Kwenye email hawezi sense Ila kwa anaejua afu mesej ikapopup kitaumanaHiii ni Kwa wajanja kidogo😂kama jamaako kutuma Email mpaka aende stationary huyo hamna shida we kagua simu ndogo, normal text & watsup
Raha ya Email urefresh ndo sms ziingieKwenye email hawezi sense Ila kwa anaejua afu mesej ikapopup kitaumana
Muhasibu huna baya...🤣🤣🤣Leo asubuhi niliacha simu imezagaa zagaa bila kuifunga. Niliporudi nikakuta Afisa Upelelezi anaifanyia upekuzi wa kina bila kibali. Ikabidi nimtazame machoni kiwiziwizi kuona kama kuna chozi linalenga lenga. Sikuona chozi ila nikaona ni kama mtu anayevuta kumbukumbu fulani. Ikabidi nitoke nje kupanga mbinu ikiwa nitadakwa na kashfa yeyote basi nije na uongo gani. Lakini pia kukumbuka kama kuna sms nilisahau kufuta maana huu uchunguzi umekuja ghafla.
Baada ya muda nikaona ameendelea na mambo mengine. Nikajua hapa kuna amani, nikarudi. Akaniambia "Bahati yako leo, ila nitakukamata tu! Simu yako ile pale"
Daah nashukuru nimeanza mwaka kwa bashasha bila makandokando. Kwa hiyo nimeanza mwaka na kafeeling fulani kapekuliwa simu halafu usikutwe na umalaya wowote.
Aidha safari hii shetani amezembea kuniharibia amani.
Heri ya Mwaka Mpya Wakuu
Email unyama sana!! Ila mesej zikiwa nyingi tuu zinakera Ila ipo vzrRaha ya Email urefresh ndo sms ziingie