Nashukuru sana JamiiForums imenipa mume

Nashukuru sana JamiiForums imenipa mume

Mwanamke mpumbavu ataibomoa ndoa/ nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Zingatia neno hilo maana hapo nimeanza kuona dalili za kuibomoa ndoa yako
 
Nimekuja kwa shangwe nikupongeze kupitia heading ya thread ila yaliyomo yamenichosha.

Haya mwenzetu, kulikoni ukose mwenza huko UK uje kumtafuta huku ukimani?
Aliyeko ukimani nae si kima?
Kama ni kweli huyo mwanaume sio mzima hadi kukuahidi ndoa, it's either wewe ndio unadanganya hapa (huna huyo mwenza) au yeye ndio anakudanganya.
 
Nimekuja kwa shangwe nikupongeze kupitia heading ya thread ila yaliyomo yamenichosha.

Haya mwenzetu, kulikoni ukose mwenza huko UK uje kumtafuta huku ukimani?
Aliyeko ukimani nae si kima?
Kama ni kweli huyo mwanaume sio mzima hadi kukuahidi ndoa, it's either wewe ndio unadanganya hapa (huna huyo mwenza) au yeye ndio anakudanganya.
Habibu ally selemani haa mym
 
🤣🤣🤣Shida zako ni nyingi nazibeba,utakuwa unawakimbiza sana huko M bet

Wengine ni wa kuwapuuza tu

Sasa kama huyo Dr Restart anatokwa povu la nini...shida nini wewe ukitumia neno balaa?yaani neno balaa likuweke kundi la wanaume kweli?

Na anawashwa wapi mimi nikiweka mikeka dadeq zake huyo pimbi
 
Nimekuja kwa shangwe nikupongeze kupitia heading ya thread ila yaliyomo yamenichosha.

Haya mwenzetu, kulikoni ukose mwenza huko UK uje kumtafuta huku ukimani?
Aliyeko ukimani nae si kima?
Kama ni kweli huyo mwanaume sio mzima hadi kukuahidi ndoa, it's either wewe ndio unadanganya hapa (huna huyo mwenza) au yeye ndio anakudanganya.
Au vyote kwa pamoja
 
Back
Top Bottom