Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Habibu ally selemani haa mymNimekuja kwa shangwe nikupongeze kupitia heading ya thread ila yaliyomo yamenichosha.
Haya mwenzetu, kulikoni ukose mwenza huko UK uje kumtafuta huku ukimani?
Aliyeko ukimani nae si kima?
Kama ni kweli huyo mwanaume sio mzima hadi kukuahidi ndoa, it's either wewe ndio unadanganya hapa (huna huyo mwenza) au yeye ndio anakudanganya.
🤣🤣🤣Shida zako ni nyingi nazibeba,utakuwa unawakimbiza sana huko M bet
Eeeeeh ndio maana nilikuita Cha ukorofi nilijua lazima uamshe popo🤣🤣Wengine ni wa kuwapuuza tu
Sasa kama huyo Dr Restart anatokwa povu la nini...shida nini wewe ukitumia neno balaa?yaani neno balaa likuweke kundi la wanaume kweli?
Na anawashwa wapi mimi nikiweka mikeka dadeq zake huyo pimbi
Tuliza mshono binti mdogo.Wengine ni wa kuwapuuza tu
Sasa kama huyo Dr Restart anatokwa povu la nini...shida nini wewe ukitumia neno balaa?yaani neno balaa likuweke kundi la wanaume kweli?
Na anawashwa wapi mimi nikiweka mikeka dadeq zake huyo pimbi
Eeeeeh ndio maana nilikuita Cha ukorofi nilijua lazima uamshe popo🤣🤣
Tuliza kijambio hiko mtu mzima hovyoooTuliza mshono binti mdogo.
Wanaforce sana utimue vumbi yaani.Hebu anipishe huyo daktari uchwara
Halafu kama umegundua siku hizi am trying kuacha ukorofi manake sio mambo yangu kiivo ila ndio vile watu wa humu ni kujitoa ufahamu tu ili usurvive
Ushazoea michezo ya kupasuliwa ndogo kiasi kwamba kijambio chako hakitulii mpaka ukibane?Tuliza kijambio hiko mtu mzima hovyooo
Wanaforce sana utimue vumbi yaani.
BomayeeeeeNyenyenyenye
Au vyote kwa pamojaNimekuja kwa shangwe nikupongeze kupitia heading ya thread ila yaliyomo yamenichosha.
Haya mwenzetu, kulikoni ukose mwenza huko UK uje kumtafuta huku ukimani?
Aliyeko ukimani nae si kima?
Kama ni kweli huyo mwanaume sio mzima hadi kukuahidi ndoa, it's either wewe ndio unadanganya hapa (huna huyo mwenza) au yeye ndio anakudanganya.
Dr. we ni msabato bila shakaTuliza mshono binti mdogo.