Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu Yangachawene ? Alishindwa lea watoto hata wanatukana mamlaka ? Okay [emoji736] basi sawa.
Ndiyo mnarudia Yale maneno ya mtalima kwa meno. Hii nchi ni Laana.
Acheni kuwa na Kiherehere cha Kutaja Watu kisha mkaja Kuwaponza na hata hiyo 2030 yenyewe wasifike. au mnataka yale ya Deo Filikunjombe aliyekuwa ameshaandaliwa kwa 100% kuja kuwa Waziri Mkuu yamkute Kiumafia na huyu wa sasa? Kazi yangu ni kuwataka tu kuwa makini kwani Tanzania ni Kubwa ila ni ya Watu wachache sana Waliojimilikisha.Hizi ni tetesi, Simbachawene ndiyo anaandaliwa kuchukua kijiti cha ukuu wa kaya 2030.
Wanaomuandaa wanamuona ni mtu mnyenyekevu, hana makuu na asiyekuwa na makundi, siyo kama hawa vijana wa sasa.
Hongera Simbachawene, Mungu akutangulie.
MLNHizi ni tetesi, Simbachawene ndiyo anaandaliwa kuchukua kijiti cha ukuu wa kaya 2030.
Wanaomuandaa wanamuona ni mtu mnyenyekevu, hana makuu na asiyekuwa na makundi, siyo kama hawa vijana wa sasa.
Hongera Simbachawene, Mungu akutangulie.
Hakuna mtu mwenye sifa za kinyapala kama za Mwendazake atapewa tena UraisMay be pia anafah Kam kweli ccm tumekoza mtu caliba ya magufuli bas apewe tu hkn jins
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hatutaki wahuni wenye jazba.Mkitaka kuona nchi inanyooka mpatieni nchi lukuvi. Yule mzee hata wizara anazopewa huwa zinasimama balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweliMay be pia anafah Kam kweli ccm tumekoza mtu caliba ya magufuli bas apewe tu hkn jins
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app