nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Aisee. Mother anawabutua sanaHaha , no yupo bado ila sio kwa kudumu
Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Sasa ni rasmi hii ni "Vita kati ya Zanzibar na Tanganyika".Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Na iwe hivyo !Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Hakuna vita hiyo bali ipo ya watoto wa mjini na wale ambao wanaonekana wa kutoka shamba !Sasa ni rasmi hii ni "Vita kati ya Zanzibar na Tanganyika".
Taratiiiibu mtamuelewa tu Tundu Lissu
Jayatusaidioi wala kitupunguzia chochoteNasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Na hii spin ndio chakademus huwa mnaivaa kimkengeHakuna upande ulio salama ndani ya CCM, vyombo vingine vya dola kukosa nguvu ni hatari Kwa serikali ya mama.
Huyu mama tulipomwambia Mwendazake aliona mbali hakutuelewa!Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Acha kuongea mambo ya ovyo! πππSasa ni rasmi hii ni "Vita kati ya Zanzibar na Tanganyika".
Taratiiiibu mtamuelewa tu Tundu Lissu
Msoga anadhani mama Abdul ataendelea kumtii, anasahau yeye alimsaliti lowasa baada ya kumweka iikulu akaacha kumtiiNasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....