Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

Kama britanicca na
GENTAMYCINE hawana hii habari, Basi sio kweli.
Wewe Mtu kama Nyumba tu aliyozaliwa Kawe na ya Marehemu Baba yake iliyo nyuma ya Hoteli ya Mama Tajiri wa Kihaya mwenye Mume Afisa Jeshini ( JWTZ ) iitwayo VICTORIA ameshindwa Kuikarabati na imejaa Panya wa Malawi, wa Dar es Salaam, Kunguni na Matanda Bui kila Kona huku wanywa Gongo wa Jirani na hiyo Nyumba sometimes wakiingia humo ndani na Kuukweka Koridoni unadhani huyu Mtu yuko sawa sawa kweli Kichwani?
 
Km kuna jambo linaloweza kumpitisha kwenye wakati mgumu kwenye utawala wake ni hili. Mwendazake tried but watu tulitegemea jambo baya linaweza mkuta katokana na kuwaweka nje ya mfumo wenye chama chao. Na yeye anajaribu kwenye nyakati ambazo wenye chama chao walitulia tu pamoja na kwamba hawakuwa wanaridhishwa na yeye na msaidizi wake kwa sababu wote sio wafia kijani kibichi. She don't see it coming but if she won't play smart! Muda utaongea
 
What i can see here she is still have a card to play,but only if she play it cool,otherwise things are not well on her side...
 
Back
Top Bottom