Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameshindwa, na amekuwa mkweli mno. ccm unatakiwa kuwa mwongo na mkatili ndio utafaa.Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Yajaaayo....
Tatizo bosi walimpandikizia hizo fitina, kumbuka akiwa VC alimchukia sana Msukuma wa watu kiasi kwamba mpaka akawa anamropokea anamtesa na aliamini hivyo, kumbe hiki kikundi cha wahuni kilifanikiwa. Uzuri sisi tusiokuwa na macho tulimjulisha toka mwanzo kabisa na walianza na show off ya kumfanya aone kama vile alitaka kuuawa etc wakampeleka Tanga, etc, baada ya hapo wakamwambia Msukuma alikuwa hapendwi so kuaga iwe siku chache tu ila walivyoona watu wengi wakabadili gia. Ila yeye aliendelea kuamini msukuma alikwa simba wa yuda. Ila sasa yamemtokea puani na mi naona keshachelewa sana tena sana maana uchaguzi ndani ya CCM una watu wa hilo kundi na ndiyo maana kila aliyekuwa mfuasi wa mama alinyimwa kabisa ushindi ndani ya chama. Kibaya kabisa kabisa mama hakufuata ushauri wa hapa JF, alidhani sisi wa msukuma ni watu wabaya. Sasa unakuta mama hakuna mpaka sasa anayemuunga mkono, siyo wabunge wala wananchi amebaki na ka kikundi ka watu wachache sana. Nadhani kwa hali ilivyo hatoboi, sababu kubwa ni kuachia tatizo dogo na kuwa kubwa. Akumbuke wenzake walimtega toka kifo cha msukuma badala ya kujisalimisha kwa waendesha nchi akajisalimisha kwa kundi lile baya kabisa na likamuweka katiKuna kitu kinaitwa "Learning the hard way" ndio anapitia bi.mkubwa. Mwendazake alikuwa smart sana kuwasoma wajinga wajinga.
ishakula kwake, atabaki kulilia chooni tuTatizo bosi walimpandikizia hizo fitina, kumbuka akiwa VC alimchukia sana Msukuma wa watu kiasi kwamba mpaka akawa anamropokea anamtesa na aliamini hivyo, kumbe hiki kikundi cha wahuni kilifanikiwa. Uzuri sisi tusiokuwa na macho tulimjulisha toka mwanzo kabisa na walianza na show off ya kumfanya aone kama vile alitaka kuuawa etc wakampeleka Tanga, etc, baada ya hapo wakamwambia Msukuma alikuwa hapendwi so kuaga iwe siku chache tu ila walivyoona watu wengi wakabadili gia. Ila yeye aliendelea kuamini msukuma alikwa simba wa yuda. Ila sasa yamemtokea puani na mi naona keshachelewa sana tena sana maana uchaguzi ndani ya CCM una watu wa hilo kundi na ndiyo maana kila aliyekuwa mfuasi wa mama alinyimwa kabisa ushindi ndani ya chama. Kibaya kabisa kabisa mama hakufuata ushauri wa hapa JF, alidhani sisi wa msukuma ni watu wabaya. Sasa unakuta mama hakuna mpaka sasa anayemuunga mkono, siyo wabunge wala wananchi amebaki na ka kikundi ka watu wachache sana. Nadhani kwa hali ilivyo hatoboi, sababu kubwa ni kuachia tatizo dogo na kuwa kubwa. Akumbuke wenzake walimtega toka kifo cha msukuma badala ya kujisalimisha kwa waendesha nchi akajisalimisha kwa kundi lile baya kabisa na likamuweka kati
Kiufupi ameyatimba, wale vijana wa anaupiga mwingi washamuingiza chooni😂 kaanza kuwatupa mmoja baada ya mwengineTatizo bosi walimpandikizia hizo fitina, kumbuka akiwa VC alimchukia sana Msukuma wa watu kiasi kwamba mpaka akawa anamropokea anamtesa na aliamini hivyo, kumbe hiki kikundi cha wahuni kilifanikiwa. Uzuri sisi tusiokuwa na macho tulimjulisha toka mwanzo kabisa na walianza na show off ya kumfanya aone kama vile alitaka kuuawa etc wakampeleka Tanga, etc, baada ya hapo wakamwambia Msukuma alikuwa hapendwi so kuaga iwe siku chache tu ila walivyoona watu wengi wakabadili gia. Ila yeye aliendelea kuamini msukuma alikwa simba wa yuda. Ila sasa yamemtokea puani na mi naona keshachelewa sana tena sana maana uchaguzi ndani ya CCM una watu wa hilo kundi na ndiyo maana kila aliyekuwa mfuasi wa mama alinyimwa kabisa ushindi ndani ya chama. Kibaya kabisa kabisa mama hakufuata ushauri wa hapa JF, alidhani sisi wa msukuma ni watu wabaya. Sasa unakuta mama hakuna mpaka sasa anayemuunga mkono, siyo wabunge wala wananchi amebaki na ka kikundi ka watu wachache sana. Nadhani kwa hali ilivyo hatoboi, sababu kubwa ni kuachia tatizo dogo na kuwa kubwa. Akumbuke wenzake walimtega toka kifo cha msukuma badala ya kujisalimisha kwa waendesha nchi akajisalimisha kwa kundi lile baya kabisa na likamuweka kati
Sahihi. Alikumbatia miibaKuna kitu kinaitwa "Learning the hard way" ndio anapitia bi.mkubwa. Mwendazake alikuwa smart sana kuwasoma wajinga wajinga.
Amefanya nini tena mzee wa kujinukuu😂 anajipaga maua yake mwenyeweTogolani Mavura jumba mbovu nae linamuangukia
Safari hii hakuna cha spinning wala spinners !Na hii spin ndio chakademus huwa mnaivaa kimkenge
Kweny huu utawala tutegemee wa visiwani wengi wataula sisi wa bara tuwe wapole na hili ndilo mwanzo wa anguko la CHURA KIZIWI …. Kwa maana kuna kundi lita amka upande wa bara kwahiyo kutakuwa na vita vya pande mbili (bara vs visiwani) ndugu zangu tuendelee kunywa mtori kwanza …….Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla.
Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana.
Pia soma: Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Yajaaayo....
😂🤣Bado yeye, kujifagia.
Unajua mpaka mimi mfuasi wa kiboko ya wachawi huruma ilinishika sanaaa sanaa dah masikini kizimkaziTatizo bosi walimpandikizia hizo fitina, kumbuka akiwa VC alimchukia sana Msukuma wa watu kiasi kwamba mpaka akawa anamropokea anamtesa na aliamini hivyo, kumbe hiki kikundi cha wahuni kilifanikiwa. Uzuri sisi tusiokuwa na macho tulimjulisha toka mwanzo kabisa na walianza na show off ya kumfanya aone kama vile alitaka kuuawa etc wakampeleka Tanga, etc, baada ya hapo wakamwambia Msukuma alikuwa hapendwi so kuaga iwe siku chache tu ila walivyoona watu wengi wakabadili gia. Ila yeye aliendelea kuamini msukuma alikwa simba wa yuda. Ila sasa yamemtokea puani na mi naona keshachelewa sana tena sana maana uchaguzi ndani ya CCM una watu wa hilo kundi na ndiyo maana kila aliyekuwa mfuasi wa mama alinyimwa kabisa ushindi ndani ya chama. Kibaya kabisa kabisa mama hakufuata ushauri wa hapa JF, alidhani sisi wa msukuma ni watu wabaya. Sasa unakuta mama hakuna mpaka sasa anayemuunga mkono, siyo wabunge wala wananchi amebaki na ka kikundi ka watu wachache sana. Nadhani kwa hali ilivyo hatoboi, sababu kubwa ni kuachia tatizo dogo na kuwa kubwa. Akumbuke wenzake walimtega toka kifo cha msukuma badala ya kujisalimisha kwa waendesha nchi akajisalimisha kwa kundi lile baya kabisa na likamuweka kati
Wenyewe kabisa walishawekagwa pembeni kitambo na wapigaji wanaoitwa Watoto wa mujini !CCM ina wenyewe acha inyeshe tujue panapovuja. Ngoja wenyewe waje....
Kwamba born town ndio anaanguka? Mbona sasa gen z kala shavu? Au ni mbuchuchu?Huu mwaka wa kuangamia kwa shetani mweusi
Lakini in the end inasemekana walifanikiwa kumtrap. Hao hao wajinga wajinga walimwingiza kingi?Kuna kitu kinaitwa "Learning the hard way" ndio anapitia bi.mkubwa. Mwendazake alikuwa smart sana kuwasoma wajinga wajinga.
KwikwikwiSafari hii hakuna cha spinning wala spinners !
This is for real buddy !