Dah, nimependa haya madtori ya wababe. Miaka ya 80s na 90s kulikuwa na,wababe nafikiri kwenye Mimi yote na kufikia 2000s mwanzoni mfumo umeanza kutoweka. Nakumbuka Songea wababe wa miaka hiyo wslikufa wengi baada ya mfumo, umri na Wao kuhamia kwenye wizi. Ola walienjoy sana. Wale wsliofanikiwa kusafiri kwenda dar, MBEYA na kurejea walikuwa na SHIDA sana. VIJANA waliopelekwa boadibg school wakirejea ni sheedah. Enzi hizo kupata madem hsikuwa rahisi. Wababe tu wslifanikiwa tena kibabe.
Kina mbabe mmoja kwa aliwahi kuporwa demu wake kilabuni, alichoamua ni kwenda home kwa dem, nyumba ya nyasi, akaingia GETO kwa dem kupitia kwenye paa alipanua nyasi akazama kimyaaa!! Mbabe wake katia timu pale kwa duu, wanafurnua mlango tu, mbabe alikupewa ngumu moja nzito, akaka chini hoiii. Jamaa kuchukua demu kala mzigo. Day 2 ilikuwa hatari zaidi. Acheni kabisa haya mambo. Siku hz hakuna wababe kimsingi.