Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

Tetesi: Nasikia Hamidu Matembo amekatwa mguu?

Dah, nimependa haya madtori ya wababe. Miaka ya 80s na 90s kulikuwa na,wababe nafikiri kwenye Mimi yote na kufikia 2000s mwanzoni mfumo umeanza kutoweka. Nakumbuka Songea wababe wa miaka hiyo wslikufa wengi baada ya mfumo, umri na Wao kuhamia kwenye wizi. Ola walienjoy sana. Wale wsliofanikiwa kusafiri kwenda dar, MBEYA na kurejea walikuwa na SHIDA sana. VIJANA waliopelekwa boadibg school wakirejea ni sheedah. Enzi hizo kupata madem hsikuwa rahisi. Wababe tu wslifanikiwa tena kibabe.
Kina mbabe mmoja kwa aliwahi kuporwa demu wake kilabuni, alichoamua ni kwenda home kwa dem, nyumba ya nyasi, akaingia GETO kwa dem kupitia kwenye paa alipanua nyasi akazama kimyaaa!! Mbabe wake katia timu pale kwa duu, wanafurnua mlango tu, mbabe alikupewa ngumu moja nzito, akaka chini hoiii. Jamaa kuchukua demu kala mzigo. Day 2 ilikuwa hatari zaidi. Acheni kabisa haya mambo. Siku hz hakuna wababe kimsingi.
Du ilikuwa noma.Ehee ikawaje?
 
Niliwahi kuishi Mwanza pale mabatini kwenye kambi ya FFU way back.. Pale Mabatini Nyumba kama hakuna mtoto kahaba anaejiuza basi kuna wanauza gongo.

Nakumbuka watoto wa Sakala wale kulwa na dotto na crew lao wakipambana na Manyilizu waliowafuata hadi kwao pale mabatini..ilikuwa Kosovo kama la dakika tano tu but damu ilikuwa inanuka hadi hewani ni mwendo wa bisibisi, mapanga, minyororo ya baiskeli, vyupa vya bia vinapishana tu hewani.

At that time nishakuwa na roho ngumu sana maana nilisoma shule ya Buswelu way back tunaitwa Mabush runner kipindi hicho shule yetu ilikuwa ina vurugu kuliko shule yeyote ile Mwanza inamilikiwa na wakulima unakuta mwanafunzi wa form one ana miaka 29 kudadadeki na mshkaji wangu alishapigwaga na shoka likazama kichwani tukiwa kwenye michezo na Lake secondary..nilijikuta na Mimi nimekuwa Mafioso tu ili kujihami. Daah!

Those days were horrible sana.

Watoto wa mama Mashaka
 
True mkuu, though sikuikuta geseco ikiwa kwenye pick yake lkn niliyo ya shuhudia na stories za yaliyopita kiukweli zinatisha mfano lile bweni linaitwa mochwari naskia kuna dereva tax aliuawa na wanafunzi mule, anyway niliinjoy kuiishi kwakivuli cha historia ya ubabe, kitaa wakijua wewe ni mwafunzi wa GESECO basis heshima tu.
Hongera kulikuwa na Bugando sec mahasimu wa Geseco shule ya bush huko nzera Geita ila matukio yake si kitoto..miaka ya 90--2000, nakumbuka miaka ya 2002-2004 hapo kama sikosei lilitokea vagi moja wakapiga walimu, wakabaka baadhi ya watoto wa walimu na kuchoma moto shule.
 
Back
Top Bottom