Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Goma limeenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basata wanasemaje?sijapemba video ni kama inahamasisha uvutaji wa unga pia matumizi ya lugha zenye ukakasi ni mwingi
Roma kafunika mbaya......chid benzi anaimba kama underground mkongwe 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂God bless.
Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu.
Huyu ndio Chidy tulie mjua.
Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.
Simu ziite simu ziite.
# Maurine sio mtamu kama Chiku
Boom play unashika namba moya 🤣🤣😂😂
Naunga mkono hoja..Chid ni yule yule, mkali siku zote, shida unga, aache unga mtamuona chid yule yule wa mashaallah, daresalaam stand up n.k.
Alikuja na muda ft q chief, mbona ngoma ilikuwa kali tu, shida unga, aache madawa, ndioa adui wake.
Weee hatari sanaBoom play unashika namba moya 🤣🤣😂😂
Nasikia harufu, Roma ft chidi benziUnaitwaje nidanilodi...sometyms sio vibaya kulisha ubongo matusi mapya
Duh!.... Matusi ndiyo vibe ?Flowz kali zenye matusi ya kutosha
Duh!.... Matusi ndiyo vibe ?Flowz kali zenye matusi ya kutosha
Nimesikiliza..hapo alipo rap kingreza sijaambulia kitu...Nasikia harufu, Roma ft chidi benzi
Sio nidanilodi, ni nidaunlodi🤣Unaitwaje nidanilodi...sometyms sio vibaya kulisha ubongo matusi mapya
Chid ni yule yule, mkali siku zote, shida unga, aache unga mtamuona chid yule yule wa mashaallah, daresalaam stand up n.k.
Alikuja na muda ft q chief, mbona ngoma ilikuwa kali tu, shida unga, aache madawa, ndioa adui wake.
Umenikumbusha ya bibi feiza foxySio nidanilodi, ni nidaunlodi🤣
Sio sometyms ni samtaimz.😂
Shule mlienda kusomea ujinga. 😂🤣
Habari ni kwamba ile dua ya kumuondolea kigiza fundi wa kimakonde, konde boy asiyekohoa, bwana miquissone inaendelea vyema kabisa, game ya leo ni kipimo tujue tuongeze dua au tufunike kombe kabisa, tuhamie kwa kramo.. Atakaewagusa hayumo, tunampeleka kikundu juu..
😂🤣