Nasikia harufu ya Chid Benz kurudi tena kwenye chat

Nasikia harufu ya Chid Benz kurudi tena kwenye chat

AENDE AENDAKOOOO KULE LAZIMA ARYDI KULA VYUMAAAAAAA..ANA MSIMU
 
God bless.

Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu.

Huyu ndio Chidy tulie mjua.

Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.


Simu ziite simu ziite.

# Maurine sio mtamu kama Chiku
Roma kafunika mbaya......chid benzi anaimba kama underground mkongwe 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
 
Chid ni yule yule, mkali siku zote, shida unga, aache unga mtamuona chid yule yule wa mashaallah, daresalaam stand up n.k.

Alikuja na muda ft q chief, mbona ngoma ilikuwa kali tu, shida unga, aache madawa, ndioa adui wake.
Naunga mkono hoja..
 
Unaitwaje nidanilodi...sometyms sio vibaya kulisha ubongo matusi mapya
Sio nidanilodi, ni nidaunlodi🤣
Sio sometyms ni samtaimz.😂

Shule mlienda kusomea ujinga. 😂🤣


Habari ni kwamba ile dua ya kumuondolea kigiza fundi wa kimakonde, konde boy asiyekohoa, bwana miquissone inaendelea vyema kabisa, game ya leo ni kipimo tujue tuongeze dua au tufunike kombe kabisa, tuhamie kwa kramo.. Atakaewagusa hayumo, tunampeleka kikundu juu..
😂🤣
 
Sio nidanilodi, ni nidaunlodi🤣
Sio sometyms ni samtaimz.😂

Shule mlienda kusomea ujinga. 😂🤣


Habari ni kwamba ile dua ya kumuondolea kigiza fundi wa kimakonde, konde boy asiyekohoa, bwana miquissone inaendelea vyema kabisa, game ya leo ni kipimo tujue tuongeze dua au tufunike kombe kabisa, tuhamie kwa kramo.. Atakaewagusa hayumo, tunampeleka kikundu juu..
😂🤣
Umenikumbusha ya bibi feiza foxy
 
Naam kakaza japo siyo kwa ubora wake tunaomjua..
 
Back
Top Bottom