Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Walaiiiiii..... 🤣 🤣Sio nidanilodi, ni nidaunlodi🤣
Sio sometyms ni samtaimz.😂
Shule mlienda kusomea ujinga. 😂🤣
Habari ni kwamba ile dua ya kumuondolea kigiza fundi wa kimakonde, konde boy asiyekohoa, bwana miquissone inaendelea vyema kabisa, game ya leo ni kipimo tujue tuongeze dua au tufunike kombe kabisa, tuhamie kwa kramo.. Atakaewagusa hayumo, tunampeleka kikundu juu..
😂🤣