Nasikia ile project ya Clouds Media imebuma; pole sana Ruge

Huyo Diamond wako unayetaka kumshindanisha na Ruge kwa kiasi kikubwa huyo Ruge bila kusahau mchango wa media zingine ndio waliomfikisha hapo alipo,lakini nyie mashabiki uchwara mnataka watu waamini kwamba Diamond kafika hapo kwa nguvu na uwezo wake mwenyewe,hapana mnakosea kushindanisha chuma na jiwe.
 
Rugeeee mimi kutoka moyonii popote ulipo mkuu
Ufahamuu sijawai kuwa funs wako
Toka nikiwa chuo ulivyokuwa na tabia mbaya
Ya kuwalazimisha madenti wa chuo chetu mgegedooo wakiwa wanashindania U miss wa chuo chetuuu

Wee hufai kabisaaaaa ukaanzisha bidu na Jidee na sasa ivii unaona anavyotesaa
Na unatumia madaraka yako vibayaaaaaa

FUNZO KWAKO KUMBUKA HICHO KITI ULICHOKALIA WAPO WENGINA WATAKIKALIAA TUUU NI SUALA LA.MUDAA TUUU
NA AMBALO HUTAKI KUFANYIWA USIMFANYIE MWENZAKOOOOO
 

ruge hana ubavu wa kulipa mtu mshahara yeye mwenyewe anasubiri salary mwisho wa mwezi kutoka kwa kusagas. amefanikiwa kudanganya raia kwa muda mrefu kwamba yeye ni mtu wa pekee sana ngoja tuone kama ataendelea kuaminisha hivyo ila clouds jahazi ni kama linazama, clouds ya sasa sio ile ilitupangia nani mkali na yupi sio mkali clouds ya kustaafisha wasanii muziki is no more
 
Sasa watu wanalalamika nini sasa kama clouds wenyewe wamejifia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…