Nasikia ile project ya Clouds Media imebuma; pole sana Ruge

Nasikia ile project ya Clouds Media imebuma; pole sana Ruge

Yan povu lote hili n kumpa tu promo
Baasha mwenzio na hii Kik yenu ya
Kupromot video
 
Ruge hawez kumshusha Diamond wa kumshusha Dai alikuwa Bob juniour baada ya beef yao wakati Dai hana mtandao but naye alishindwa sasa wasafi medio is on the move wa kumshinda Dai ni mpaka Aliyejuu aamuue tu.
 
Clouds kuzama, HAPANA!

Wasafi TV ku-take over nafasi ya Clouds TV inawezekana kabisa kwa sababu Clouds TV hamna kitu.

Wasafi FM kuchukua nafasi ya Clouds FM ni ngumu sana... kufikia hizo ndoto kutachukua angalau miaka 3! Clouds FM wapo well established!

Clouds Kumshusha Diamond Platnumz.... na yenyewe ni ngumu sana kama ambavyo niliwahi kuandika huko nyuma kwamba "Hivi Unamshushaje Diamond?"

Diamond Platnumz atashushwa na muda sawa na wasanii wengine wote duniani lakini sio kushushwa na Clouds!

Naweza kusema with confidence kwamba, Diamond anaongoza Afrika Mashariki kama sio Afrika katika kuweza kutumia vizuri mitandao ya kijamii!! Na si kwamba anaongoza kwa kundi la wasanii pekee bali hata kwa umma mzima wa Afrika.

Kadri siku zinavyoenda, ndivyo member wa dunia halisi wanavyozidi kuhamia kwenye dunia mtandao... yaani watu wanahama kutoka kwenye Real World to a Cyber World!

Hii ni Winning Card/Karata ya Ushindi kwa mtu aliyeamua kuwekeza nguvu kwenye Cyber World ili kuwafikia mashabiki wake!

Ni juzi tu hapa Diamond alifikisha Subscriber 1 M kwenye Youtube Channel lakini hivi sasa ameshafikisha Subscribers 1.2M.

Youtube ni mtandao mgumu sana kupata Followers/Subscribers lakini jamaa ni kama anawaokota tu!!! Anawazidi hata akina Davido wanaotoka kwenye nchi yenye population takribani mara 3 ya population ya Tanzania!

Anawazidi hata akina AKA wanaotoka kwenye nchi zilizo vizuri zaidi kiuchumi na hivyo kuweka assumption wao wangekuwa ndo wenye uwezo zaidi wa kutembelea Youtube!!

Sasa unamdondashaje mtu wa aina hiyo?!

Pekee wanachoweza kufanya ni kumtilia fitina kwenye endorsements... kwamba, kv mtu kama Kusaga ni mfanyabiashara mkubwa, assumption ni kwamba atakuwa anafahamiana vizuri na Decision Makers wa kampuni mbalimbali!

Kupitia kufahamiana huko, ndipo labda anaweza kufanya figisu figisu za kumbania business deals!

Lakini kumdondosha kimuziki... inabidi wajipange!!
 
50% ya watanzania wote wanasikiliza clouds
50%iliyobaki wanagawana Akina majizo na vijiredio vyote
Rekebisha iwe hivi,
25% ya watanzania wote wanasikiliza clouds
50%iliyobaki wanagawana Akina majizo na vijiredio vyote
25% iliyosalia wanasikliza kwenye simu zao, baada ya kuingiziwa na vijana wenye computers zao mitaani.
 
Clouds kuzama, HAPANA!

Wasafi TV ku-take over nafasi ya Clouds TV inawezekana kabisa kwa sababu Clouds TV hamna kitu.

Wasafi FM kuchukua nafasi ya Clouds FM ni ngumu sana... kufikia hizo ndoto kutachukua angalau miaka 3! Clouds FM wapo well established!

Clouds Kumshusha Diamond Platnumz.... na yenyewe ni ngumu sana kama ambavyo niliwahi kuandika huko nyuma kwamba "Hivi Unamshushaje Diamond?"

Diamond Platnumz atashushwa na muda sawa na wasanii wengine wote duniani lakini sio kushushwa na Clouds!

Naweza kusema with confidence kwamba, Diamond anaongoza Afrika Mashariki kama sio Afrika katika kuweza kutumia vizuri mitandao ya kijamii!! Na si kwamba anaongoza kwa kundi la wasanii pekee bali hata kwa umma mzima wa Afrika.

Kadri siku zinavyoenda, ndivyo member wa dunia halisi wanavyozidi kuhamia kwenye dunia mtandao... yaani watu wanahama kutoka kwenye Real World to a Cyber World!

Hii ni Winning Card/Karata ya Ushindi kwa mtu aliyeamua kuwekeza nguvu kwenye Cyber World ili kuwafikia mashabiki wake!

Ni juzi tu hapa Diamond alifikisha Subscriber 1 M kwenye Youtube Channel lakini hivi sasa ameshafikisha Subscribers 1.2M.

Youtube ni mtandao mgumu sana kupata Followers/Subscribers lakini jamaa ni kama anawaokota tu!!! Anawazidi hata akina Davido wanaotoka kwenye nchi yenye population takribani mara 3 ya population ya Tanzania!

Anawazidi hata akina AKA wanaotoka kwenye nchi zilizo vizuri zaidi kiuchumi na hivyo kuweka assumption wao wangekuwa ndo wenye uwezo zaidi wa kutembelea Youtube!!

Sasa unamdondashaje mtu wa aina hiyo?!

Pekee wanachoweza kufanya ni kumtilia fitina kwenye endorsements... kwamba, kv mtu kama Kusaga ni mfanyabiashara mkubwa, assumption ni kwamba atakuwa anafahamiana vizuri na Decision Makers wa kampuni mbalimbali!

Kupitia kufahamiana huko, ndipo labda anaweza kufanya figisu figisu za kumbania business deals!

Lakini kumdondosha kimuziki... inabidi wajipange!!
well said mkuu
 
Kuhusu Kanumba hata mimi nilisikitika sana. Nikimsikia dozen akimponda huyo kaka hadi kusema "ACCESS DENIED" eti kwamba kaharibu. Yeye dozen jana kawahoji wadada wa Nigeria waliokulia UK na alikua anatumia nguvu nyingi kuongea kiingereza. Sikupenda walivyomdhakilisha Kanumba
 
Clouds kuzama, HAPANA!

Wasafi TV ku-take over nafasi ya Clouds TV inawezekana kabisa kwa sababu Clouds TV hamna kitu.

Wasafi FM kuchukua nafasi ya Clouds FM ni ngumu sana... kufikia hizo ndoto kutachukua angalau miaka 3! Clouds FM wapo well established!

Clouds Kumshusha Diamond Platnumz.... na yenyewe ni ngumu sana kama ambavyo niliwahi kuandika huko nyuma kwamba "Hivi Unamshushaje Diamond?"

Diamond Platnumz atashushwa na muda sawa na wasanii wengine wote duniani lakini sio kushushwa na Clouds!

Naweza kusema with confidence kwamba, Diamond anaongoza Afrika Mashariki kama sio Afrika katika kuweza kutumia vizuri mitandao ya kijamii!! Na si kwamba anaongoza kwa kundi la wasanii pekee bali hata kwa umma mzima wa Afrika.

Kadri siku zinavyoenda, ndivyo member wa dunia halisi wanavyozidi kuhamia kwenye dunia mtandao... yaani watu wanahama kutoka kwenye Real World to a Cyber World!

Hii ni Winning Card/Karata ya Ushindi kwa mtu aliyeamua kuwekeza nguvu kwenye Cyber World ili kuwafikia mashabiki wake!

Ni juzi tu hapa Diamond alifikisha Subscriber 1 M kwenye Youtube Channel lakini hivi sasa ameshafikisha Subscribers 1.2M.

Youtube ni mtandao mgumu sana kupata Followers/Subscribers lakini jamaa ni kama anawaokota tu!!! Anawazidi hata akina Davido wanaotoka kwenye nchi yenye population takribani mara 3 ya population ya Tanzania!

Anawazidi hata akina AKA wanaotoka kwenye nchi zilizo vizuri zaidi kiuchumi na hivyo kuweka assumption wao wangekuwa ndo wenye uwezo zaidi wa kutembelea Youtube!!

Sasa unamdondashaje mtu wa aina hiyo?!

Pekee wanachoweza kufanya ni kumtilia fitina kwenye endorsements... kwamba, kv mtu kama Kusaga ni mfanyabiashara mkubwa, assumption ni kwamba atakuwa anafahamiana vizuri na Decision Makers wa kampuni mbalimbali!

Kupitia kufahamiana huko, ndipo labda anaweza kufanya figisu figisu za kumbania business deals!

Lakini kumdondosha kimuziki... inabidi wajipange!!
Umeandika vizuri sana..big up
 
Kituo chake hamna mtu anaehangaika nacho tena, anatuwekea jiwe la mwezi Amber lulu huo si upunguani. Kulazimisha vitu ambavyo watu hawavielew hawafiki mbali. Huyu jamaa ni MNAFIKI sana. Yeye anataka miaka yote wasanii wamlambe lambe miguu tu sasa kiboko yake imefika.. NYOOO
 
Wabongo bwana mtu analala anaota anaamka anaongea kama ana ushahidi au kashuhudia.
Mara kawazuia wasifanye jingle na wasafi mara sijui nini watanzania bwana...
Ruge bado yuko sana kwenye game
 
Kituo chake hamna mtu anaehangaika nacho tena, anatuwekea jiwe la mwezi Amber lulu huo si upunguani. Kulazimisha vitu ambavyo watu hawavielew hawafiki mbali. Huyu jamaa ni MNAFIKI sana. Yeye anataka miaka yote wasanii wamlambe lambe miguu tu sasa kiboko yake imefika.. NYOOO
Unajua jiwe la mwezi linatokana na msanii ambaye video yake imefikisha viewers 1,000,000 ndiyo maana na support yote wanayompa country boy hawakuwahi mchukua jiwe la mwezi na wimbo wake wa turn up coz ilikuwa na viewers wachache
 
Concept ya Huu wimbo haina tofauti na wa Harmonise ft mjomba
Label moja idea moja nyimbo mbili kukosa ubunifu
Unless diamond anashindana na harmo
Ukituliza kichwa jaribu kujiuliza...ipi ilikuwa ya kwanza kurekodiwa? then utajijibu mwenyewe...
 
Ugenius wke ni upi km ni genius basi hao wasanii wke wa THT tungekuwa tunawaona wanapishana angani na kwnda kwny mituzo ya Bet na mtv

Hana analolijua... amekaa na mwenye pesa kusaga na anafata ya kusaga na kuchanganya na yake ndio maana ana onekana ana jua... ila hana mafanikio ya kutisha... angalieni msije waita wakina Mo na bakhresa nao ni majiniazi... hahahahahahahahahaaaaa....

Kusaga ana fanikiwa kila leo... kuliko kusaga... na hana bifu na mtu au sijui tuseme hachukiwi na watu? au anaona kuendelea kuwa mbia wa biashara moja na mtani wake itamletea shida huko mbele ndio maana ana anza kuitegemea zaidi na zaidi.... ana piga pesa huku ametulia hana kelele za Ruge za kuchukiwa na kila mtu...!
 
ruge hana ubavu wa kulipa mtu mshahara yeye mwenyewe anasubiri salary mwisho wa mwezi kutoka kwa kusagas. amefanikiwa kudanganya raia kwa muda mrefu kwamba yeye ni mtu wa pekee sana ngoja tuone kama ataendelea kuaminisha hivyo ila clouds jahazi ni kama linazama, clouds ya sasa sio ile ilitupangia nani mkali na yupi sio mkali clouds ya kustaafisha wasanii muziki is no more
Dah huyu naye ameandika namna hii ndo maana nchi yetu kuendelea ni mpaka 2140
 
Back
Top Bottom