nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Ndugu zangu ya kweli haya? Kwamba Azam Media wameona ni ujinga kutumia taasisi yao ku facilitate vita binafsi? kama ni kweli basi hongereni sana azam tv
Abakize tu Asas ili akiwa anapost bidhaa zao atumie platform hiyo kutukana bidhaa za MO maana ndiyo style yake utasikia nipo na boss wa Asas ni tajiri kwelikweli huwa havuagi shati na siyo mbahili
Abakize tu Asas ili akiwa anapost bidhaa zao atumie platform hiyo kutukana bidhaa za MO maana ndiyo style yake utasikia nipo na boss wa Asas ni tajiri kwelikweli huwa havuagi shati na siyo mbahili