Nasikia katimuliwa ubalozi Azam

Nasikia katimuliwa ubalozi Azam

Anatia huruma sana. Najiuliza leo ataanzisha nyuzi ngapi kuhusu manara. Manara kaacha majeruhi wengi sana kule simba
Wanasemaga ukiona mtu anakufuatilia jua anakukubali.

Kiufupi huyu jamaa anamkubali sana Manara sema tu mpaka sasa haamini kilichotokea bado na ndio sababu anaweweseko baya.

Kama vipi aje kwa Wananchi.

#Sisitunawatu.
 
Anatia huruma sana. Najiuliza leo ataanzisha nyuzi ngapi kuhusu manara. Manara kaacha majeruhi wengi sana kule simba
wewe usijali nimekuweka kiporo sana hadi kwenye black diary nimekuweka, siku yako yaja wal usiwe na haraka ngoja nimalize hili jukumu zito kabisa.

Utafurahia show nakuahidi
 
Shosti ushapata zako kimoja cha asubuhi basiii full kuvaa kijora ka upepo kaingie vizuri kwa mooootoooooo
wewe usijali nimekuweka kiporo sana hadi kwenye black diary nimekuweka, siku yako yaja wal usiwe na haraka ngoja nimalize hili jukumu zito kabisa
Utafurahia show nakuahidi
 
Shosti ushapata zako kimoja cha asubuhi basiii full kuvaa kijora ka upepo kaingie vizuri kwa mooootoooooo
maliziaaa yote matusi uliyonayo ambush nitakayokupa kama haukuwa mwezini siku hiyo zitakutoka za kutosha hata lavy pad haitsaidia, nimemaliza ngoja niweke sawa documents kabla ya kuendelea na kazi ya kizalendo kabisa
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚JF bana
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚am waiting
maliziaaa yote matusi uliyonayo ambush nitakayokupa kama haukuwa mwezini siku hiyo zitakutoka za kutosha hata lavy pad haitsaidia, nimemaliza ngoja niweke sawa documents kama ya kuendelea na kazi ya kizalendo kabisa
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚JF bana
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚am waiting
usijichekeshe, malizia matusi yako ya mwishomwisho ambayo kwa leo nayapuuza na kesho nitayapuuza na mtondogooo tukana weeee ila.....
 
Awe amesoma hajasoma pamoja na mapungufu yake ila Manara mnamkumbuka na ndio maana kila siku mnamuombea njaa ila jamaa ana kismart chake.

Azam na Bakheresa hawato mfukuza Manara na Bakheresa hana uswahili kama wa Mudy wakutupa vijembe na kujibizana na watu kwenye social media.

Mtu kama mmeamua kumpiga chini achaneni naye kwani mkimzungumzia inaonesha bado mnamwitaji.
Ule usemi wao "UKIACHWA ACHIKA" hawautaki tena. Kutwa midomoni.
 
Mzee Bakhressa hataki ujinga wa taasisi yake kutumika kwa ajili ya revenge ya mtu binafsi, atumie platform ya gsm na asas
Tumia akili japo kidogo!! Vitasa anavyotoa Manara vinaambatana na Yanga SC! Sasa taasisi ya Bakhresa inatumika vp kwenye the so-called revenge wakati matangazo ya Azam yanakuwa free from any Mwamedi related issues?!
 
Kizuri zaidi unafungua nyuzi kibao za majungu
Ila jamaa anakusanya pesa tu.
Inauma lakini unaumia Pole poleee
 
Tumia akili japo kidogo!! Vitasa anavyotoa Manara vinaambatana na Yanga SC! Sasa taasisi ya Bakhresa inatumika vp kwenye the so-called revenge wakati matangazo ya Azam yanakuwa free from any Mwamedi related issues?!
Fanya mambo mengine unapoteza time kumpigia mbuzi gitaa mkuu
 
Bugatti for life. Wewe ni mchawi kasoro vifaa
 
Back
Top Bottom