Tetesi: Nasikia kuna nyumba zinatakiwa kuvunjwa maeneo ya Mbuyuni Tegeta ili kupisha stendi ya Mwendokasi

Tetesi: Nasikia kuna nyumba zinatakiwa kuvunjwa maeneo ya Mbuyuni Tegeta ili kupisha stendi ya Mwendokasi

Zainab j

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
1,817
Reaction score
2,362
Wakuu Kuna dada ana mji wake na gesti maeneo ya karibu na mizani ya pale njia ya tegeta,

Ananiambia kuanzia pale mbuyuni upande wa kulia yanapopaki maroli kwenye eneo la Rupia,na nyumba zote za upande hule kwendea Hadi kule upande wa chini karibu na hilipo mizani ya TANROAD, Kuna nyumba zisizopungua Mia na zaidi,

Nasikia wanafanyiwa Valuation hili walipwe Kuna mradi wa Mwendokasi wanataka stendi ya mwendokasi iwe pale,

Hivi Kuna ukweli au Kuna kigogo tu serikalini anapataka pale?! Maana lile eneo kiujumla limekaa vizuri mno kabisa, panafaa kujenga mradi wowote mkubwa, Sasa isiwe Kuna kigogo tu anapataka anataka kuwahamisha wananchi asiwape fedha ya kueleweka
 
Wakuu Kuna dada ana mji wake na gesti maeneo ya karibu na mizani ya pale njia ya Tegeta.

Ananiambia kuanzia pale mbuyuni upande wa kulia yanapopaki maroli kwenye eneo la Rupia,na nyumba zote za upande hule kwendea Hadi kule upande wa chini karibu na hilipo mizani ya TANROAD, Kuna nyumba zisizopungua Mia na zaidi.

Nasikia wanafanyiwa Valuation hili walipwe Kuna mradi wa Mwendokasi wanataka stendi ya mwendokasi iwe pale.

Hivi Kuna ukweli au Kuna mkubwa tu serikalini anapataka pale?! Maana lile eneo kiujumla limekaa vizuri mno kabisa, panafaa kujenga mradi wowote mkubwa, Sasa isiwe Kuna kigogo tu anapataka anataka kuwahamisha wananchi asiwape fedha ya kueleweka.
 
Mradi upo na tenda ilishatangazwa kwenye gazeti la serikali.

Pale Dawasco tegeta kuna eneo la wazi ilikuwa wajenge stendi ya mabasi yaendayo kaskazini but toka mwaka 2018 walisitisha na jwa taarifa nilizonazo hapo Dawasco ndipo kutakuwa na main bus station ya mwendokasi kwa njia hiyo.

So anza maandalizi ya kutafuta eneo la kwenda kuishi.
 
Ukiwa jirani na barabara na akaja mtu binafsi akafika na pesa nzuri anataka kukuhamisha kamata pesa hio fasta kawekeze pengine, hii miradi ya serikali utapewa pesa kwa thamani ya ukadiliaji na sio thamani ya nguvu ya soko.
Mradi wa SGR umeacha vilio kwa watu.
1.Kuna mtu alikataa bilioni moja Ili tajiri ajenge kituo cha mafuta kaja kapewa milioni 120.
2.Kuna mtu alikataa milioni 900 eti anataka bilioni moja kaja kapewa 120.
3.Kuna mtu alikataa milioni 400 yaani achukue 350 Dalali ale 50 akakataa eti kwann Dalali ale 50 kwenye nyumba yake kaja kapewa m 80.
Waliogoma kuchukua greda likapita na nyumba zao pesa zenu kasubirie mahakamani mnachelewesha mradi.

Yaani kijumba kibovu ulijenga miaka 45 iliyopita haifiki hata laki tatu gharama yake ya enzi hizo kwa SAsa sawa na milioni 30.
Mtu anakuja na bilioni unachomoa eti upo barabarani na tu frem twako tutatu.
Wazee wamebakia na mapresha wanajutia pesa walizokataa.
 
Wakuu Kuna dada ana mji wake na gesti maeneo ya karibu na mizani ya pale njia ya tegeta,

Ananiambia kuanzia pale mbuyuni upande wa kulia yanapopaki maroli kwenye eneo la Rupia,na nyumba zote za upande hule kwendea Hadi kule upande wa chini karibu na hilipo mizani ya TANROAD, Kuna nyumba zisizopungua Mia na zaidi,

Nasikia wanafanyiwa Valuation hili walipwe Kuna mradi wa Mwendokasi wanataka stendi ya mwendokasi iwe pale,

Hivi Kuna ukweli au Kuna kigogo tu serikalini anapataka pale?! Maana lile eneo kiujumla limekaa vizuri mno kabisa, panafaa kujenga mradi wowote mkubwa, Sasa isiwe Kuna kigogo tu anapataka anataka kuwahamisha wananchi asiwape fedha ya kueleweka
Umeshaambiwa na mhusika mwenyewe sasa unataka nani akuaminishe tena
 
Umeshaambiwa na mhusika mwenyewe sasa unataka nani akuaminishe tena
kumbe wewe ni mgeni humu JF, au nahisi wewe ni mtoto,

Ujawai kusikia Jambo ukaliamini kumbe Lina utapeli ndan yake, ukalileta Mtandaoni watu wakakusanua
 
Mradi upo na tenda ilishatangazwa kwenye gazeti la serikali.

Pale Dawasco tegeta kuna eneo la wazi ilikuwa wajenge stendi ya mabasi yaendayo kaskazini but toka mwaka 2018 walisitisha na jwa taarifa nilizonazo hapo Dawasco ndipo kutakuwa na main bus station ya mwendokasi kwa njia hiyo.

So anza maandalizi ya kutafuta eneo la kwenda kuishi.
Dawasco wanajenga stendi ya mabus ya kaskazini nakumbuka, mkuu mi nipo Tandale huku ambapo hapafai kwa mradi wowote labda wakutokomeza panyalodi
 
Ukiwa jirani na barabara na akaja mtu binafsi akafika na pesa nzuri anataka kukuhamisha kamata pesa hio fasta kawekeze pengine, hii miradi ya serikali utapewa pesa kwa thamani ya ukadiliaji na sio thamani ya nguvu ya soko.
Mradi wa SGR umeacha vilio kwa watu.
1.Kuna mtu alikataa bilioni moja Ili tajiri ajenge kituo cha mafuta kaja kapewa milioni 120.
2.Kuna mtu alikataa milioni 900 eti anataka bilioni moja kaja kapewa 120.
3.Kuna mtu alikataa milioni 400 yaani achukue 350 Dalali ale 50 akakataa eti kwann Dalali ale 50 kwenye nyumba yake kaja kapewa m 80.
Waliogoma kuchukua greda likapita na nyumba zao pesa zenu kasubirie mahakamani mnachelewesha mradi.

Yaani kijumba kibovu ulijenga miaka 45 iliyopita haifiki hata laki tatu gharama yake ya enzi hizo kwa SAsa sawa na milioni 30.
Mtu anakuja na bilioni unachomoa eti upo barabarani na tu frem twako tutatu.
Wazee wamebakia na mapresha wanajutia pesa walizokataa.
Hao ni fungu la kukosa, nikweli ukiwa na eneo karibu na barabara akifika mtu Bei nikuliuza, lasivyo utakuja kujilaumu bure
 
Ukiwa jirani na barabara na akaja mtu binafsi akafika na pesa nzuri anataka kukuhamisha kamata pesa hio fasta kawekeze pengine, hii miradi ya serikali utapewa pesa kwa thamani ya ukadiliaji na sio thamani ya nguvu ya soko.
Mradi wa SGR umeacha vilio kwa watu.
1.Kuna mtu alikataa bilioni moja Ili tajiri ajenge kituo cha mafuta kaja kapewa milioni 120.
2.Kuna mtu alikataa milioni 900 eti anataka bilioni moja kaja kapewa 120.
3.Kuna mtu alikataa milioni 400 yaani achukue 350 Dalali ale 50 akakataa eti kwann Dalali ale 50 kwenye nyumba yake kaja kapewa m 80.
Waliogoma kuchukua greda likapita na nyumba zao pesa zenu kasubirie mahakamani mnachelewesha mradi.

Yaani kijumba kibovu ulijenga miaka 45 iliyopita haifiki hata laki tatu gharama yake ya enzi hizo kwa SAsa sawa na milioni 30.
Mtu anakuja na bilioni unachomoa eti upo barabarani na tu frem twako tutatu.
Wazee wamebakia na mapresha wanajutia pesa walizokataa.
Tatizo elimu
 
Hao ni fungu la kukosa, nikweli ukiwa na eneo karibu na barabara akifika mtu Bei nikuliuza, lasivyo utakuja kujilaumu bure
Wangekuwa wanawacheka tu wenzao sahihi.Bilioni moja unanua heka moja mjini mfano Makongo,kinyerezi, kigamboni,bunju,boko,madale then unajenga kijiji, Kazi yako ni kuangalia nani mpangaji msumbufu unatimua.
 
Ukiwa jirani na barabara na akaja mtu binafsi akafika na pesa nzuri anataka kukuhamisha kamata pesa hio fasta kawekeze pengine, hii miradi ya serikali utapewa pesa kwa thamani ya ukadiliaji na sio thamani ya nguvu ya soko.
Mradi wa SGR umeacha vilio kwa watu.
1.Kuna mtu alikataa bilioni moja Ili tajiri ajenge kituo cha mafuta kaja kapewa milioni 120.
2.Kuna mtu alikataa milioni 900 eti anataka bilioni moja kaja kapewa 120.
3.Kuna mtu alikataa milioni 400 yaani achukue 350 Dalali ale 50 akakataa eti kwann Dalali ale 50 kwenye nyumba yake kaja kapewa m 80.
Waliogoma kuchukua greda likapita na nyumba zao pesa zenu kasubirie mahakamani mnachelewesha mradi.

Yaani kijumba kibovu ulijenga miaka 45 iliyopita haifiki hata laki tatu gharama yake ya enzi hizo kwa SAsa sawa na milioni 30.
Mtu anakuja na bilioni unachomoa eti upo barabarani na tu frem twako tutatu.
Wazee wamebakia na mapresha wanajutia pesa walizokataa.
Nimekusoma dalali!
 
Ivi ule mbuyu pale Namanga wataukata? ile barabara mpya ya Morocco - Mwenge je, wataifumua tena?
 
Back
Top Bottom