Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Naomba kufahamu kuwa ni kweli kuna sabuni ya maji ya kuogea? Kama ipo je unaitumiaje kuogea?

Unajipaka, unajimiminia au unachanganya ndani ya maji? Kama unatumia Bomba la mvua la kuogea inakuaje?

Sijui lolote juu ya sabuni hii naomba kujuzwa.

Fikra: Kama ipo ni bora sana kwa familia yenye watu wengi hasa katika janga hili la Corona na magonjwa mengine ya ngozi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani unamaanisha shower gel,

namna ya kuitumia ni vile utakavyopenda wewe kuendana na mazingira ya bafu lako

kama una tub/sink la kuogea utajaza maji utaweka showergel na kufikicha ili upate povu...utaingia uoge kadri utakavyo ukimaliza utajisuza na maji masafi

kama una shower utalowanisha sponge ya kuogea na kufikicha upate povu then unaoga na mwisho unajisuuza na maji safi

kama una ndoo hivyo hivyo ama waweza iweka kwenye ndoo ukaoga ukasuuza ama ukaiacha pia

binafsi siwezi ogea sabuni ya kipande kabisaa ni shower gel tuu
 
Sisi wa Kwamtogole tusio na tub/sink la kuogea, unachukua face towel, dodoki au sponge ya kuonwa. Unaiweka maji kidogo, unaweka sabuni ya maji unafikicha Iris povu ambalo unatumia kujisafishia mwili mzima.

Sisi tunaokwenda bafuni na ndoo zetu za maji tena unayachota kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa.
 
Nadhani unamaanisha shower gel,

namna ya kuitumia ni vile utakavyopenda wewe kuendana na mazingira ya bafu lako

kama una tub/sink la kuogea utajaza maji utaweka showergel na kufikicha ili upate povu...utaingia uoge kadri utakavyo ukimaliza utajisuza na maji masafi

kama una shower utalowanisha sponge ya kuogea na kufikicha upate povu then unaoga na mwisho unajisuuza na maji safi

kama una ndoo hivyo hivyo ama waweza iweka kwenye ndoo ukaoga ukasuuza ama ukaiacha pia

binafsi siwezi ogea sabuni ya kipande kabisaa ni shower gel tuu
Nazidi kujifunza kitu kupitia mrembo huyu.. I swear unakitu Cha kipekee kabisa ningetamani ningekuwa karibu yako so I could get some sort of mentorship on this throughout my life..

kwenye Biblia takatifu Kuna habari ya mwanamke aitwae Abigael ana sifa Kama zako.

Well raised...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nazidi kujifunza kitu kupitia mrembo huyu.. I swear unakitu Cha kipekee kabisa ningetamani ningekuwa karibu yako so I could get some sort of mentorship on this throughout my life..

kwenye Biblia takatifu Kuna habari ya mwanamke aitwae Abigael ana sifa Kama zako.

Well raised...

Sent using Jamii Forums mobile app
Awww thank youuu
 
Sisi wa Kwamtogole tusio na tub/sink la kuogea, unachukua face towel, dodoki au sponge ya kuonwa. Unaiweka maji kidogo, unaweka sabuni ya maji unafikicha Iris povu ambalo unatumia kujisafishia mwili mzima.
Sisi tunaokwenda bafuni na ndoo zetu za maji tena unayachota kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa.
Mkatoliki imeandikwa usiseme uongo.umeeleza vizuri lakini uongo wako ni jinsi ulivyojishusha,wewe sio wa hivyo bana.
 
Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi

Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
 
Kwa wale wenye masink makubwa ya kuogea. Unajaza maji yako ndani ya hilo sink, unaweka sabuni yako, unaingia ndani ya hilo sink unaonga ukiwa umekaa. Ukitosheka kukaa humo unayafungulia yanatoka unajisuuza na kumaliza kuoga kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatumia Bomba la mvua unawezaje kutumia Shower gel ??
Unafungua maji ya shower kwanza ulowane mwili
Kisha unalowanisha dodoki lako au kama huna poa pia

Unaweka shower gel kwenye dodoki ama mkononi na unafikicha lile dodoki upate povu then unajisugua ama unapitisha na mikono tu
Napenda dodoki mana lina'save sabuni...gel kidogo tu povu jingiii

Ukiridhika na kujiosha na dodoki fungua maji ya shower tena uoge hadi povu liishe
Na usuze na dodoki...
 
Kwahiyo hizo kitu zipo za watu wenye chunus...ngoz kavu.za akina ray kama zilivyo za vipande au na ubora waje ukoje linapokuja suala la kutibu ngoz..au hazina tiba yyte zaid za harufu nzuri tu maana nasikia ukitumia hizo huna haja ya peefum.
 
Nadhani unamaanisha shower gel,

namna ya kuitumia ni vile utakavyopenda wewe kuendana na mazingira ya bafu lako

kama una tub/sink la kuogea utajaza maji utaweka showergel na kufikicha ili upate povu...utaingia uoge kadri utakavyo ukimaliza utajisuza na maji masafi

kama una shower utalowanisha sponge ya kuogea na kufikicha upate povu then unaoga na mwisho unajisuuza na maji safi

kama una ndoo hivyo hivyo ama waweza iweka kwenye ndoo ukaoga ukasuuza ama ukaiacha pia

binafsi siwezi ogea sabuni ya kipande kabisaa ni shower gel tuu
vipi lakini inakufanya unakuwa soft sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom