makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kuna moja aliniletea manzi mmoja mzambia, aisee ukioga bafuni km kumepuliziwa marashi, ilikuwa nikiogea tu sabuni ile nakuwa km nimejipulizia marashi, na harufu yake ilikuwa nzuri mnoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najisikia vibaya kumuambia mwanaume atumie nini awe na ngozi soft
Hizo swaga usiogopeNajisikia vibaya kumuambia mwanaume atumie nini awe na ngozi soft
Hii comment imekaa kibaguzi sana, kwa hiyo mkuu watoto wako wanaogea shower gel tofauti na sabuni anayoogea dada wa kazi, then anakaa na watoto wako the whole day. Usikute ndo huyo huyo anawaogesha watoto wako, Then???? CYCLE CONTINUESMie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi
Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Siogopi wala
Fungua PM mara moja nikwambie kituSiogopi wala
Its js against nature
Sijamaanisha hivyo. Shower gel mnaweza kushea wengi tofauti na kipande. Mnasemea ubaguzi mie sio mbaguzi ila mtu mzima na mtoto kushare sabuni ni big no. Nimetoa mfano house girl ila anaweza kuwa mtu mwingineHii comment imekaa kibaguzi sana, kwa hiyo mkuu watoto wako wanaogea shower gel tofauti na sabuni anayoogea dada wa kazi, then anakaa na watoto wako the whole day. Usikute ndo huyo huyo anawaogesha watoto wako, Then???? CYCLE CONTINUES
Chukulia mtoto wako ana miaka mitatu dada wa kazi ambae umemtoa bush anatumia sabuni yake kuogea. Risk ya kumwambukiza mtoto fungus ni kubwa. Sijui umenielewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa hapo kwenye kushare na dada wa kazi una maana gani? Kwamba wadada wa kazi ndo huwa wana fangasi?
Hata watoto wako wanaweza wakamwambukiza fangasi dada wa kaziMie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi
Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Ngumu sana
NImeshangaa kweli
hutaki niwe soft kama yule msanii wa marekani ambaye kifo chake kilikuhuzunisha sana?Siogopi wala
Its js against nature
Ohh pleasehutaki niwe soft kama yule msanii wa marekani ambaye kifo chake kilikuhuzunisha sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mhh basi ngja tusubiri wakuozeshe,kungwi wako atakufundisha
mimi pia ni handsome boy kama yeye.sijikwezi.sijisifii.Ohh please
Nip is a whole complete MAN in a another level
See this MAN .,What is soft about him?
View attachment 1444667
MAN UP BOY!
mimi mwenyewe bonge la handsomeOhh please
Nip is a whole complete MAN in a another level
See this MAN .,What is soft about him?
View attachment 1444667
MAN UP BOY!
Ohh please
Nip is a whole complete MAN in a another level
See this MAN .,What is soft about him?
mimi ni handsome boy ila najiongeza pia kwa natural scrubs,mafuta mazuri na shower gels.si unaona utofauti kwenye picha hapo.plus navaa hereni .mnyamwezi hapo kapatia na mzuzu huo.style yake kali.kwenye maisha jifunze kujiongeza
Sent using Jamii Forums mobile app