Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi waafrika ni wabaguzi sana. Eti dada wa kazi. Mtu anakulelea wanao na kukusaidia kazi kwa hivyo vijihela kidogo unavyompa bado unamuona takataka. Eti fangasi. Dada wa kazi mchukulie kama mwanao.Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi
Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi
Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Mvua naijua ila bomba lake nijuze kidogoNaomba kufahamu kuwa ni kweli kuna sabuni ya maji ya kuogea? Kama ipo je unaitumiaje kuogea?
Unajipaka, unajimiminia au unachanganya ndani ya maji? Kama unatumia Bomba la mvua la kuogea inakuaje?
Sijui lolote juu ya sabuni hii naomba kujuzwa.
Fikra: Kama ipo ni bora sana kwa familia yenye watu wengi hasa katika janga hili la Corona na magonjwa mengine ya ngozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei ?kuna mambo ukiyajua unajiuliza kimoyo moyo "nilikuaga wapi mimi"
tumia shower gel hutokaa urudi kwenye vipande milele nakwambia
Chukulia mtoto wako ana miaka mitatu dada wa kazi ambae umemtoa bush anatumia sabuni yake kuogea. Risk ya kumwambukiza mtoto fungus ni kubwa. Sijui umenielewa?Sijaelewa hapo kwenye kushare na dada wa kazi una maana gani? Kwamba wadada wa kazi ndo huwa wana fangasi?
Hapana mkuu, vipi unataka kuwa soft? kula matunda mchanganyiko kila siku pia uwe na utaratibu wa kunywa maji kwa wingi...utang'aa mkuu.
Hamna iko kawaida tu,
Nenda dukaniBei ?
We mwanamke kwani?
Mimi rijali kabisa.sema mtanashati tu.unashangaa kuwa soft?navaa mpaka hereni sikio moja ila sijatoboa.haya turudi kwenye maada yetuWe mwanamke kwani?
Mhh basi ngja tusubiri wakuozeshe,kungwi wako atakufundishaMimi rijali kabisa.sema mtanashati tu.unashangaa kuwa soft?navaa mpaka hereni sikio moja ila sijatoboa.haya turudi kwenye maada yetu
Sent using Jamii Forums mobile app