Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi

Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
Sisi waafrika ni wabaguzi sana. Eti dada wa kazi. Mtu anakulelea wanao na kukusaidia kazi kwa hivyo vijihela kidogo unavyompa bado unamuona takataka. Eti fangasi. Dada wa kazi mchukulie kama mwanao.
 
Mie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi

Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege

Sijaelewa hapo kwenye kushare na dada wa kazi una maana gani? Kwamba wadada wa kazi ndo huwa wana fangasi?
 
Naomba kufahamu kuwa ni kweli kuna sabuni ya maji ya kuogea? Kama ipo je unaitumiaje kuogea?

Unajipaka, unajimiminia au unachanganya ndani ya maji? Kama unatumia Bomba la mvua la kuogea inakuaje?

Sijui lolote juu ya sabuni hii naomba kujuzwa.

Fikra: Kama ipo ni bora sana kwa familia yenye watu wengi hasa katika janga hili la Corona na magonjwa mengine ya ngozi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mvua naijua ila bomba lake nijuze kidogo
 
Hahhaa umenikumbusha kuna siku nilikua na fungus za sehem za siri (groin fungus) nikasema YES detol hua nasikia ni kiboko yao so nikanunua chupa moja nikaingia bafuni wakati wa kuoga nikawa namiminia mkononi then najipaka ikiwa conc.

Bila kuchanganya na maji. Siku ya pili kuja kucheki korodani zimekauka na zile sacks zimekua ngumu kama alluminium foil.... aisee nililia kama mtoto nikajua ndio kwisha habari yangu ila baada ya muda zikalainika tena.
 
Ngoja nijaribu siku moja, ngozi yangu iko selective sana kwenye hizi kemikali za sabuni ikikutana na vitu isivyopenda nawashwa kama nimemeza chloroquine.
Sema hizo gel mnavyosema zina Manukato mazuri mmenivutia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom