Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Meza panado ulale ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pilaa gusa unase twende kwao..Kwani lini mlipanda?
Tulipomshenyeta TP Mazembe 😂😂😂😂Kwani lini mlipanda?
Tp mazembe ilikuwa ni maiti inayotembeaTulipomshenyeta TP Mazembe 😂😂😂😂
Ikumbuke hii post yangu. Kwa ligi kuu hakuna timu ya kuizuia Yanga. Hii mechi ya leo na MC Algier isikupumbaze.yanga hata mngeshinda mngeishia robo fainali, yanga mmefikia peak ya kiwango, mna hatari ya ku drop, kocha mpya aje na vision mpya na maboresho ya nguvu, ila kwa kikosi hichi hamuwez vuka hapo, hata ligi hamchukui. jipangen na dirisha dogo
Zipo team zimefanikiwa for the recordIkumbuke hii post yangu. Kwa ligi kuu hakuna timu ya kuizuia Yanga. Hii mechi ya leo na MC Algier isikupumbaze.
Nalijua hilo mkuu ila mimi nimemnukuu tu mchambuzi maandazi wa jf Labani og aliyetamba kwamba Uto baada ya kuipiga Mazembe sasa imesimama na itachukua ubingwa wa CAFCL.Tp mazembe ilikuwa ni maiti inayotembea
kwani tuelewe lipi, sio kwamba gari limewakaYani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja
Hebu jaribu kunywa panadol inaweza kusaidia😂Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Na akisita kuchomoa, hiyo tamu!Kama inauma chomoa