Nasikia maumivu makali sana Yanga tumeshuka kiwango

Nasikia maumivu makali sana Yanga tumeshuka kiwango

Hakuna cha chama, dube Aucho, wala pacome, Tumeikosa bn 2.3 kiboya sana.
Sasa tufukuze huyo boya, kocha Said Ramovic , hakuna kocha humo!
 
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.

Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Mkiambiwa ukweli mpo tyari kuupokea?
 
Yanga tungefuzu leo robo tungepangiwa esperence, orlando ama mamelodi.

Hao ndio walioongoza makundi yao

Kati ya hao watatu ni nani tungemfunga robo ?
 
Morali ni ndogo, dk 7 zilipoongezwa ilipofika dk ya 5 wachezaji wa Yanga wakakata tamaa kabisa wanasubiri filimbi mpira uishe
 
Azizi Kii aliipambania timu utafikiri ni ya baba yake!! waliobaki wote walikuwa tia maji tia maji!!!
 
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.

Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Acha basi
 
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.

Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
 
Yanga tungefuzu leo robo tungepangiwa esperence, orlando ama mamelodi.

Hao ndio walioongoza makundi yao

Kati ya hao watatu ni nani tungemfunga robo ?
Hao Orlando ni hatari, nimewaona jana wakimpelekea moto Al Ahl kwao
 
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.

Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Kamdomo, mara wananchi mara wa kimataifa. Kamdomo
 
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.

Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Ndio mpira ulivyo ndugu ila haya yaliyotokea yawe SoMo kwa injinia na wenzake matatizo waliyoshindwa kuelewana na wenzake tangu mwanzo na kusituka dakika za mwisho ndiyo imepelekea hali hii.
 
Back
Top Bottom