NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
BEDFORD.Ooh gari imeshaawaakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BEDFORD.Ooh gari imeshaawaakaa
Mkiambiwa ukweli mpo tyari kuupokea?Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Acha basiYani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Watueleze.....Kwani lini mlipanda?
Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Nyamaza kulia mkuu
Hao Orlando ni hatari, nimewaona jana wakimpelekea moto Al Ahl kwaoYanga tungefuzu leo robo tungepangiwa esperence, orlando ama mamelodi.
Hao ndio walioongoza makundi yao
Kati ya hao watatu ni nani tungemfunga robo ?
Kamdomo, mara wananchi mara wa kimataifa. KamdomoYani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe
Ndio mpira ulivyo ndugu ila haya yaliyotokea yawe SoMo kwa injinia na wenzake matatizo waliyoshindwa kuelewana na wenzake tangu mwanzo na kusituka dakika za mwisho ndiyo imepelekea hali hii.Yani timu yetu bado haijakaa sawa hakukuwa na ubunifu eneo la mbele timu hata ingecheza dakika 200 bado tusingefunga.
Yanga tunapotezaje nyumbani mbona mnatupa maradhi jamani yani tunashindwa kupata goli hata moja wachezaji imefikia wanacheza mpira uishe