Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

Wanaume wa dar mmekua wapumbavu sana
Yani hivyo vitoto vinawatia hofu!!!

Wanaume wa dar mmelegea sana, ata kama ni usasa huu umepitiliza

Disgrace to manhood

Waje huku Mara waone show zake
 
IMG_6935.jpg
 
Kuna Jambo kubwa mno kuifanyia nchi uisitawalike. Mh. Rais sijui kwa nini hafunguki ubongo kwenye hili. Mkuu wa polisi ameshindwa kabisa. Yaani Makachero wamefeli vibaya. Yaani Usalama wa nchi na Raia uko hatarini. Mambo ya ndani ya nchi na Usalama mko wapi? Kuna hujuma?
 
Kitunda nasikia wako maeneo ya Relini kibao,nasikia maduka yote yamefungwa
Hiki kikundi kuna kitu nyuma yao

Nahisi watu wanazusha. Nipo yombo napo kumevuma panya rodi wapo yombo mwisho wa lami na buza na maduka yamefungwa. Ila baada ya muda nimepita hapo mwisho wa lami naona maduka yako wazi hakuna chochote
 
Nahisi watu wanazusha. Nipo yombo napo kumevuma panya rodi wapo yombo mwisho wa lami na buza na maduka yamefungwa. Ila baada ya muda nimepita hapo mwisho wa lami naona maduka yako wazi hakuna chochote
wale hawakai sehemu moja , ukitaka kuamini wapo , nenda hapo kituo cha afya cha Yombo vituka ( malawi) ulizia sikukuu ya xmas walipokea wahanga wangap wa hao jamaa
 
Nahisi watu wanazusha. Nipo yombo napo kumevuma panya rodi wapo yombo mwisho wa lami na buza na maduka yamefungwa. Ila baada ya muda nimepita hapo mwisho wa lami naona maduka yako wazi hakuna chochote
huwa wanapita huku wanakwapua
 
Back
Top Bottom