Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem

Nahisi watu wanazusha. Nipo yombo napo kumevuma panya rodi wapo yombo mwisho wa lami na buza na maduka yamefungwa. Ila baada ya muda nimepita hapo mwisho wa lami naona maduka yako wazi hakuna chochote
Uvumi tu
 
Maduka yote yamefungwa, watu wako ndani!

Mwenye updates zaidi...
Kulikuwa na tarifa kwamba walikuwa kitunda naona wanapiga show kama kawaida na IGP anaendelea kutoa mimacho tu.

Kweli hatuna intelijensia kabisa ya kuwamaliza hawa wahuni??? Sasa maana ya kuwa na polisi na usalama wa taifa ni nini?

Hii nchi bana
 
kuna mkono wa wanasiasa , ingekuwa nje , raia wangeandamana kuishinikiza serikali kutilia mkazo maana serikali kama imelala hv
Naomba kujua ,hivi siasa inaingiaje hapa,hivi Kuna watu wanaweza kukaa ,wakawatuma vijana hao wadogo kiumri,

Wafanye vitendo vya kihalifu ikiwa wanajua muda wowote wanakufa?

Yaani wananchi tusikie panya road wapo sijui mbagala,, tuungane tuwasake si tutateketeza vijana wengi?

Ni muda wa Barreta kufanya kazi huu na siyo panga .nikikuhisi tu ......?!?!?!!!
 
Kuna Jambo kubwa mno kuifanyia nchi uisitawalike. Mh. Rais sijui kwa nini hafunguki ubongo kwenye hili. Mkuu wa polisi ameshindwa kabisa. Yaani Makachero wamefeli vibaya. Yaani Usalama wa nchi na Raia uko hatarini. Mambo ya ndani ya nchi na Usalama mko wapi? Kuna hujuma?
Yupo Uganda huko saizi,Kuna wahuni wanamsukumia huko na kumwandalia Safari za Mara kwa Mara ili wapige hela
 
Wanaume wa dar mmekua wapumbavu sana
Yani hivyo vitoto vinawatia hofu!!!

Wanaume wa dar mmelegea sana, ata kama ni usasa huu umepitiliza

Disgrace to manhood

Waje huku Mara waone show zake
Ndio matokeo ya kuvaa mlegezo, hivi mtu anayevaa mlegezo anaweza kukimbiza mwizi? Hata kumkata mtama hawezi.
 
Kuna Jambo kubwa mno kuifanyia nchi uisitawalike. Mh. Rais sijui kwa nini hafunguki ubongo kwenye hili. Mkuu wa polisi ameshindwa kabisa. Yaani Makachero wamefeli vibaya. Yaani Usalama wa nchi na Raia uko hatarini. Mambo ya ndani ya nchi na Usalama mko wapi? Kuna hujuma?
Siri ni zero kabisa, huwezi jua kama nchi ina IGP
 
Sikuizi imekuwa tabia mtu yoyote anaitwa panya road ata kibaka moja akiiba tu utasikia kuna panya road na watu wanajifungia

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
wale hawakai sehemu moja , ukitaka kuamini wapo , nenda hapo kituo cha afya cha Yombo vituka ( malawi) ulizia sikukuu ya xmas walipokea wahanga wangap wa hao jamaa
Duh tangu Xmas?
 
Wanaume wa dar mmekua wapumbavu sana
Yani hivyo vitoto vinawatia hofu!!!

Wanaume wa dar mmelegea sana, ata kama ni usasa huu umepitiliza

Disgrace to manhood

Waje huku Mara waone show zake
Kwani Mara mbali?
Njoo pambana tukusifie.
 
Kuna Jambo kubwa mno kuifanyia nchi uisitawalike. Mh. Rais sijui kwa nini hafunguki ubongo kwenye hili. Mkuu wa polisi ameshindwa kabisa. Yaani Makachero wamefeli vibaya. Yaani Usalama wa nchi na Raia uko hatarini. Mambo ya ndani ya nchi na Usalama mko wapi? Kuna hujuma?
Inatafutwa justification ....aijipii...auone mlango. Panya road haikutamkwa Bahati mbaya wakati fulani!

Inaumiza sana kuwafanya hivi raia wasio na hatia mambo mabaya namna hii.
 
Siku hizi watu wanalianzisha kua panya road wanakuja ili watu wakimbie biashara zao na wao wapoze.
Hali tight
 
Back
Top Bottom