Tetesi: Nasikia Panya road wako Mbagala Zakheem


Copy that
 
Imefikia hatua hata ugomvi wa vijana mtaani wakigombea demu ukitokea mnasema Panya Road acheni kutia watu hofu
Mkuu huo ndio kweli,yani hata ukimpiga mkeo tu utasikia panya road wamempiga Mdada
 
tumechoka na kelele zenu, nawashauri kila mwanaume mtaani anunue moja ya hizi nyenzo pamoja na firimbi.
Wakija hao watoto piga firimbi kila mtu atoke na shoka au panga lake. Ni kukata na kufunua tu hakuna kuchukua mateka.



 
Kuna kipindi hizi Panya Road zilisumbua, mpaka wakati mwingine hata kama ni uongo watu wanakimbia na kufunga maduka
 
Kuwa makini huyo dg usikubar akuletee wauni itakucost trust me utakuja jikuta nyuma ya nondo
 
Watoto wadogo wanaleta fujo. Wakipata bastola wataleta fujo zaidi? Siyo kweli. Wanapofanya hii light trouble ndio wanavumiliwa.
Hata hivyo,inaleta wasiwasi Hawa vijana wengi wanavyokamatwa na Polisi.
Kwamba ile fujo inaonekana dhahiri inafanywa na watoto kutokana na madhara madogo yanayotokea.
Na Polisi wanaonekana hawana interest sana. Yule Mama mmoja anasema,"tuliwaita Polisi,Polisi wakafika wamelewa chakari'
 
fake story msitoe taarifa za uongo itukapojulikana unatoa taarifa za uongo mtashughulikiwa kwa mujibu wa sheria acheni kutisha watu na kutoa taarifa ovyo wewe ukikamatwa utahesabika panya road
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…