Nasikia Panya Road wamerejea kwa kasi DSM wanatafuta fedha ya sikukuu; chukua taadhari

Nasikia Panya Road wamerejea kwa kasi DSM wanatafuta fedha ya sikukuu; chukua taadhari

Mungu atusaidie jamani haya mambo naogopa mimi!
Hivi polisi wetu ndio wameshindwa kabisa kudhibiti hivyo vitoto? Ukitokea ugaidi si tumekwisha?
Tusipende kuwalaumu police kila siku dada wakati na sisi ni wafugaji wa hao panya road wengine tunawachagua kabisa wako bungemi wanapiga mabilion...
 
Hivi si tulishakubaliana kwamba watu wa mkoani wanaweza kukabiliana na Panya Road? Huyu msukuma wa mwanza wamemuonjesha kidogo anakimbia jiji mwambie arudi wanaume hatukimbii mji kisa nyoka amevamia nyumba yako. Ndio mjue inavyokuwa kuishi kwenye jiji hapa sio kwenye vibatari unafahamika na kila myu. The city knows nobody .. gawiza ngosha😀😀😀😂
 
Back
Top Bottom