Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Mara ishirini.Sadaka mara ishirini mkuu
Yule mtu anayesema alienda msibani akamwona Geodavie amelewa chakari,mimi nipo tayari kumwamini.
Kwa sababu nimeona mambo ya ajabu kule Kanisani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ishirini.Sadaka mara ishirini mkuu
Mke na watoto 3 mkuuUna mke au watoto ?
Mkuu kweli au??Mara ishirini.
Yule mtu anayesema alienda msibani akamwona Geodavie amelewa chakari,mimi nipo tayari kumwamini.
Kwa sababu nimeona mambo ya ajabu kule Kanisani.
Kuna mama alidai,,,alimwona anabadilika na kua jokaMara ishirini.
Yule mtu anayesema alienda msibani akamwona Geodavie amelewa chakari,mimi nipo tayari kumwamini.
Kwa sababu nimeona mambo ya ajabu kule Kanisani.
Sawa mkuuPole sana ndugu,ikatae iabusa hiyo sauti/roho wa mauti.
Yani hupaswi kujiua hata iweje,pambana mpaka tone la mwisho la jasho lako. Kukata kwangu tamaa huwa ni kuchapa kazi yoyote ile kama mwehu bila kujali.
[/QUOTE]Mkuu usikate tamaa.
OkSurrender to Jesus now.....no gap/void will be left empty.
Unashangaa, si ndo zao hizo majini, wanakujia na kukushawishi ujiue ili uende motoni kuungana na FaizaFoxy akupe mabikra 72 yeye akiwa mmoja waoDuuuh
Majini wenzako ndiyo wanawashawishi vijana wetu na kuwaingia vichwani kama walivyomuingia Mohammed na kuwashawishi wajiue ili waje kuungana nawe huko Gaza kwenye maandaki ya moto yasiyo na hewa.Watu tupo Ghaza saa hizi, wewe upo kwenye mtu anatishia kujiuwa.
Punguwani huyo kama wewe.
Shukrani kaka...hold on very strong Kwa situation unayopitia...Mungu atafanya njia ...wanaume tunaishi tukiamini kiukweliMkuu upo sahii na una uelewa mkubwa sana wa saikolojia ya maisha.
I apriciate you bro
Majinni raha sana, hguelewi tu:Majini wenzako ndiyo wanawashawishi vijana wetu na kuwaingia vichwani kama walivyomuingia Mohammed na kuwashawishi wajiue ili waje kuungana nawe huko Gaza kwenye maandaki ya moto yasiyo na hewa.
Je kuna tatizo lolote kati yenuMke na watoto 3 mkuu
We good hakuna tatizo,,,,,ila tatizo ni mm,,,nina uraibu wa pombeJe kuna tatizo lolote kati yenu
AminaShukrani kaka...hold on very strong Kwa situation unayopitia...Mungu atafanya njia ...wanaume tunaishi tukiamini kiukweli
First of all, Mimi Kama psychologist ningependa unipatie basic information about yourself,umri wako, umeoa au haujaoa, biashara au kazi unayoifanya, nafasi yako kwenye familia yenu,ni mtoto wa ngapi,na ikikupendeza Elimu yako na mkoa unakoishi, ?Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.