Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Hawa watu wametoa sadaka,kwa uchache,mara kumi.
Nadhani ipo live television pale,sasa, watu kwa ajili ya ushamba wao, nadhani wanataka kuonekana kwenye tv.
 
Watu tupo Ghaza saa hizi, wewe upo kwenye mtu anatishia kujiuwa.

Punguwani huyo kama wewe.
Majini wenzako ndiyo wanawashawishi vijana wetu na kuwaingia vichwani kama walivyomuingia Mohammed na kuwashawishi wajiue ili waje kuungana nawe huko Gaza kwenye maandaki ya moto yasiyo na hewa.
 
Majini wenzako ndiyo wanawashawishi vijana wetu na kuwaingia vichwani kama walivyomuingia Mohammed na kuwashawishi wajiue ili waje kuungana nawe huko Gaza kwenye maandaki ya moto yasiyo na hewa.
Majinni raha sana, hguelewi tu:

Your browser is not able to display this video.
 
Sio mtu yeyote anaweza kufikiri ama hata kujiua!

Ni baadhi ya Watu..... Na ukweli Usemwe...

Wale wanaofikiri ama hata Waliojiua ni DHAIFU....! Hawana Moyo wa Kustahimili!

Labda Mungu tu ndo anaweza kuwaokoa... Wakimwendea...!!
 
First of all, Mimi Kama psychologist ningependa unipatie basic information about yourself,umri wako, umeoa au haujaoa, biashara au kazi unayoifanya, nafasi yako kwenye familia yenu,ni mtoto wa ngapi,na ikikupendeza Elimu yako na mkoa unakoishi, ?
Ntakufungua hiyo minyororo utakuwa huru na uone thamani ya maisha.
[emoji120][emoji120] Even though you are denying yourself, Jesus still loves you [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…