Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #261
Sawa mkuu nitakucheki privateFirst of all, Mimi Kama psychologist ningependa unipatie basic information about yourself,umri wako, umeoa au haujaoa, biashara au kazi unayoifanya, nafasi yako kwenye familia yenu,ni mtoto wa ngapi,na ikikupendeza Elimu yako na mkoa unakoishi, ?
Ntakufungua hiyo minyororo utakuwa huru na uone thamani ya maisha.
[emoji120][emoji120] Even though you are denying yourself, Jesus still loves you [emoji120]
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Bado haujajiua nikusogezee Dawa ya kuulia wadudu utangulie kule ukatuwahie maeneo ya mashamba tunakuja kujenga mahekalu utuwahie viwanja huko tukifika pakiwa pamefurika tuwe na pa kufikiaSauti inakuja kichwani jiue....!!!