Nasikia utopolo kimewauma kiasi walinunua ticket na kuzichoma ili uwanja uwe na magap

Nasikia utopolo kimewauma kiasi walinunua ticket na kuzichoma ili uwanja uwe na magap

Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Ghalib alidhamini hilo zoezi ovu la.kununua ticket .
 
Jibu ni ndioo,27 November 1993-Stella Adjamè Vs Simba.
1st leg-Simba 2-0 Stella Adjamè.
2nd leg-Stella Adjamè 3-0 Simba.
Mkuu, hii unayoizungumzia ni abiola cup.
Nimejaribu kuingia kwenye website ya CAF sijakuta mahala kua Simba iliwahi kucheza fainali ya michuano yoyote ya CAF.

Labda unisaidie link namimi niingie hapo nikajihakikishie.
 
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki.
Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama.

Wanaumia Simba kutoa sare na hawaoni aibu kwa kuanza kumshambulia Robertinyo eti kocha mbovu.
Wana hofu kwa kuwa hawajawahi kumfunga mechi yoyote.

Endeleeni kuumia huenda mtapambana nanyi mjulikane kama tulivyoona rais wenu akijipendekeza kwa rais wa FIFA
Wajinga hao. Hawajui maana ya 'sold out' ni pamoja na hizo walizozichoma! 😁
 
Back
Top Bottom